Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,384
- 26,733
Kiuchumi hii ni njema sana, sijui kiafya ikoje!
Utasikia watu wakisema ukichanganya bia unalewa fasta, binafsi nilidhani tofauti ya bia ni majina tu na viwango vya kilevi ila viambata vingi ni sawa.
Basi majuzi hapa nilichoshuhudia ni tofauti, cha ajabu alianza na kilevi (alc v/v) kubwa akifuatia ndogo. Ghafla akaanza kulaumu kuchanganya bia.
Kwanza hii dhana ni kweli? Nini sababu yake?
Ncha Kali.
Utasikia watu wakisema ukichanganya bia unalewa fasta, binafsi nilidhani tofauti ya bia ni majina tu na viwango vya kilevi ila viambata vingi ni sawa.
Basi majuzi hapa nilichoshuhudia ni tofauti, cha ajabu alianza na kilevi (alc v/v) kubwa akifuatia ndogo. Ghafla akaanza kulaumu kuchanganya bia.
Kwanza hii dhana ni kweli? Nini sababu yake?
Ncha Kali.