Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,761
- 2,757
Ahsante mkuu nilikuwa navuta beti haziingii vizuriKwa mara ya kwanza, mama naumiaaa...
Kwa mara ya pili wee, mdogo mdogo inaingiaaa...
Naskia raha, utamuu, jamani raha, utamuuu
Ahsante mkuu nilikuwa navuta beti haziingii vizuriKwa mara ya kwanza, mama naumiaaa...
Kwa mara ya pili wee, mdogo mdogo inaingiaaa...
Naskia raha, utamuu, jamani raha, utamuuu
Ooh yes! I am feeling good to see your post!Inatupa Stimu tuu....
Paf mbili tatu zinakaa sawa...
Hahaha, pamoja sana mkuu. Unaonekana ulikua mpenzi mkubwa sana wa chenjaHaka ka nyimbo nimekakumbuka kakawa kananichenga kidogo ,ahsante mkuu
uongo tu.hayo manyimbo yapo mpaka huko Seal Team.delta force.nimeyashuhudia.Ukiona watu ili wapate hiyo wanayoiita morali ni mpaka waimbe matusi, ujue wanamatatizo yasiyoonekana moja kwa moja!
Kuna baadhi ya maafisa hawaruhusu kabisa lugha za matusi iwe ni kombania, mashambani au kwingineko!
mwanajeshi uliyewekwa sero mpaka vyakula vikaoza kwenye butiInatupa Stimu tuu....
Paf mbili tatu zinakaa sawa...
Eboo!Wapemba nao hawapo nyuma kwenye majahazi huko, upepo ukikata ghafla baharini na kuwalazimu kupiga makasia..
Sikiliza hii...Seif weee tukamsake ngogo maji kujaaa,twende pwaniii tukamsake ngogo maji kujaaa,
Kibwagizo:wanambia nina kaboro kadogo hiyo mimba kamtia naniii!?...wanambia nina kaboro kadogo hiyo mimba kamtia naniii!?
Sawa mkuu!uongo tu.hayo manyimbo yapo mpaka huko Seal Team.delta force.nimeyashuhudia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajitambui 90% ya majesho ya Tz ni nyumbu na zero
John John alihangaika
Alivyokamatwa Ugoni, alihangaika
Na chupi yake mkononi
Hiyo huwa ni kupeana morality mkuu.View attachment 2033025
Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
asikwambie mtu kitu mkuu, mzuka unavyopanda hapo hatari, kasia zinapigwa kwa kasi yakushangaza kabisa, chombo kinakata maji kama kinamashine...Eboo!
Nakubali nakubaliasikwambie mtu kitu mkuu, mzuka unavyopanda hapo hatari, kasia zinapigwa kwa kasi yakushangaza kabisa, chombo kinakata maji kama kinamashine...
Izo zinaitwa Tungo TataView attachment 2033025
Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Ni hatari sana mkuuHii chenja unaweza toka mabio Dar mpaka Kigoma halafu fresh tu
Utakuwa zao la 824kj weweHahaha aice, kuna moja hiyo enzi posho imekawia kutoka utasikia wimbo et nipe posho yangu niende kibondo nikapambane nao wauza k... Hapo inataftwa morali tu aicee.
Hawa ndio wale wanapita jeshi kwa mujibu wa sheria(JKT), miezi mitatu anadhani kalijua jeshi. Kifupi hizi nyimbo ni kwa majeshi yote unayoyajua duniani.uongo tu.hayo manyimbo yapo mpaka huko Seal Team.delta force.nimeyashuhudia.
Sent using Jamii Forums mobile app