Nini priority za sasa kama nchi?

1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo

Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?
Usisahahu mkuu

Kwenye sector ya Kufungua suruali na sketi naona ndiyo inafanya vizuri tu. Sector zingine zote hali mbayaaaaaaaa
 
1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo

Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?
Vipaumbele mbele vilipangwa siku nyingi- Maradhi, Ujinga, na Umaskini, wewe ulikuwa hujazaliwa. Labda ongeza hivi vya kwenu vya Uhuru wa kusema bila kufikiri na katiba mpya
 
Kuhakikisha Faru John anapatikana akiwa Hai

Pia kuhakikisha Lema anafudishwa adabu akiwa magereza

Mwisho ni Ben saa nane apotee machoni petu mpaka tumsahau kama Balali
Faru John kawa gumzo kuzidi panga boya
 
1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo

Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?
Faru John
 
1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo

Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?

Priority ni kununua ndege (bombadia) kwanza
 
1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo

Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?
Priority yetu pasi na shaka ni wewe kumind your own business,kufikia malengo yako bila migogoro ya kisheria.kujituma zaidi ili umudu shida zako za kila siku .
 
Priority yetu pasi na shaka ni wewe kumind your own business,kufikia malengo yako bila migogoro ya kisheria.kujituma zaidi ili umudu shida zako za kila siku .
Mkuu kwa hiyo point yako hatufiki popote zaidi ya watu kukomaa na mambo yao ili wasurvive. Serikali lazima ifanye kazi yake vizuri ili na wewe uweze kumind your own business. Huwezi kumind your own business kama nchi ipo gizani na mambo mengine mengi tu ambayo ni jukumu la serikali.
 
Mkuu kwa hiyo point yako hatufiki popote zaidi ya watu kukomaa na mambo yao ili wasurvive. Serikali lazima ifanye kazi yake vizuri ili na wewe uweze kumind your own business. Huwezi kumind your own business kama nchi ipo gizani na mambo mengine mengi tu ambayo ni jukumu la serikali.
Ni ushauri tu kama hutaki endelea kumind business za walioshiba hali unanjaa!sera za nchi hii ni nyingi mno na wanaozitunga wala hawanifikirii!why should I mind them,wote wanahangaikia njaa zao yangu ahangaikie nani? everybody for himself God for all of us.
 
Sasa najiuliza ni kwamba serikali inajipanga au ni nini shida. Kama nchi ni nini priority yetu? Wapi tumekwama na tufanyaje kurekebisha? Je tutafika uchumi wa kati kwa style ya sasa?
1.Sekta ya afya hali mbaya--Madawa hakuna hospitalini. Kuna vituo hata panadol havina.
2. Sekta ya viwanda naona bado tuko nyuma sana.
3.Sekta ya elimu bado tunasuasua. Ile sera ya elimu bure naona ina hali mbaya.
4.Uchumi bado unadorora.
5. Ukusanyaji kodi tumerudi kulekule alipotuacha Rais Kikwete 900 bil.
6.Sekta ya kilimo na ufugaji bado hamna mipango inayoeleweka.
7.Michezo bado tuko nyuma sana..Huwa najiuliza kwa nini kila siku serikali ina-finance timu ya taifa ya mpira wa miguu na hamna mafanikio.
8.Uhuru wa kujieleza umeminywa.
......Na mengineyo
Kama nchi priolity yetu ya kwanza ni kuwatumbua wadanganyika.
Pliolity ya pili ni kuhakikisha kila mdanganyika anajitetemesha na kulipa kodi.
Pliolity zingine zitafuata baadae baada ya wadanganyika kutelekeleza agizo la utani la kutotoa watoto.
Pliority ni kuwasomesha bure watoto watakaozaliwa.

Viwanda tunavyo vya kutosha zaidi ya 52 elfu. Tumekosa wafanyakazi wa kuwaajiri ili kuviendesha viwanda hivyo.

Pliolity ingine ni kuwapandishia bei ya umeme wanaopenda mwanga usiku.

Mkuu wewe hujui kwamba priority ni kuongeza idadi ya ndege-mapangaboi na kujenga uwanja nyumbani?
 
Back
Top Bottom