Mwanafalsafa;
Mimi bado mgeni hapa na pengine nimekosea. Samahani kwa hilo. Kuna hoja nyingi za kisiasa ndanimwe!
Mwawado;
Ninachofahamu, next day baada ya kumdhalilisha mkuu wa kaya, haikupatikana tena. For sure I know Intelpol na vijana wa ICT Usalama wa Taifa waliplay role kubwa.
Maoni yako mengine nakubaliana nayo with a note kwamba: Je mambo hayatokei nchi hii mpaka tu watu wakubwa waguswe?
Zeutamu:
1. Wengi walilalamika kuwa zeutamu inawadhalilisha na wakataka ifungwe - hakuna aliyerespond.
2. Wengi walilalamika kuwa zeutamu imevunja ndoa zao na mahusiano na wapenzi wao na wakataka ifungwe - hakuna aliyesikiliza
3. Baadhi wakaandika kuwa kuna watu wamejiua kwa ajili ya zeutamu na wengine wajijidhuru na hata kuathirika kisaikolojia hakuna aliyesikiliza . . . .
4. Na hatimaye Mkuu Wakaya akadhalilishwa . . . . Usalama wa taifa hakuna aliyekuwa na amani, vijana wote wakaingia kazini, Police Force wakaingia kazini, Intelpol wakaingia kazini na hatimaye zeutamu haipo tena. Yote hayo yalifanyika katika muda mfupi sana . . . . . . .
RM/RA Saga
1. Wananchi wameumia sana miaka mingi kwa ajili ya ufisadi . . . hakuna aliyewasikiliza
2. Wananchi wamekufa sana kwa ajili ya umasikini ambao wakati mwingine umesababishwa na ufisadi hakuna aliyeshtuka
3. Hatimaye List of Shame ikatajwa . . . . Matokeo yakaanza kuonekana
4. Hatimaye Mafisadi wakubwa wakaanza kutajwa . . . na sasa mengi yafichuka na yataendelea kufichuka na najua kutakuwa na matokeo.
Just wondering . . . Nchi hii mambo hayafanyiki hadi wakubwa na mafisadi waguswe.
Nimejifunza kuwa ili nchi hii mambo yaende sasa ni lazima kuwagusa wakubwa na mafisadi?
Kama si hivyo . . . Why things do not happen the way they should happen?