Dashdown
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 399
- 432
Wanajukwaa habarini za muda huu!
Niende moja kwa moja kwenye mada nimekuwa nikipokea gawio kutoka mitandao ya simu hususani Tigo na Vodacom gawio hilo ni muda mrefu sasa naona napata shilingi ndogo ndogo sana hivyo basi naomba mwenye uelewa na hili gawio anisaidie nini nifanye angalau niwe napata gawio linaloeleweka (gawio kubwa).
Nawasilisha kwenu!!
Niende moja kwa moja kwenye mada nimekuwa nikipokea gawio kutoka mitandao ya simu hususani Tigo na Vodacom gawio hilo ni muda mrefu sasa naona napata shilingi ndogo ndogo sana hivyo basi naomba mwenye uelewa na hili gawio anisaidie nini nifanye angalau niwe napata gawio linaloeleweka (gawio kubwa).
Nawasilisha kwenu!!