The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Naomba wajuvi wa mambo wanisaidie kuelewa kwani kila nikitafakari kwa kina sipata jibu linaloniridhisha.
Hivi tofauti kubwa sana ya vyama vya siasa iko kwenye Nini?
1.Wanachama na viongozi kwa maana ya hulka za wanaokiunda chama!?
2.Muundo wa chama kwa maana ya jinsi chama kilivyoundwa.!?
3.Uwezo binafsi wa kiakili na kiuongozi wa wanaokiunda chama husika!?
4. Jina na alama mbalimbali za chama.!?
5. Historia na muda ambao chama kimedumu.?
6. Uwezo wa kifedha na kiuchumi ambao chama kinao.?
7. Mazingira ya kisiasa ambayo taifa linapitia?
Lengo la mjadala huu ni kujaribu kutoa mwangaza wa kisiasa kwa viongozi wetu wa vyama ili wafanye maboresho kwenye vyama vyetu ili tuwe na vyama imara sana kwa maslahi ya taifa letu.
Hivi tofauti kubwa sana ya vyama vya siasa iko kwenye Nini?
1.Wanachama na viongozi kwa maana ya hulka za wanaokiunda chama!?
2.Muundo wa chama kwa maana ya jinsi chama kilivyoundwa.!?
3.Uwezo binafsi wa kiakili na kiuongozi wa wanaokiunda chama husika!?
4. Jina na alama mbalimbali za chama.!?
5. Historia na muda ambao chama kimedumu.?
6. Uwezo wa kifedha na kiuchumi ambao chama kinao.?
7. Mazingira ya kisiasa ambayo taifa linapitia?
Lengo la mjadala huu ni kujaribu kutoa mwangaza wa kisiasa kwa viongozi wetu wa vyama ili wafanye maboresho kwenye vyama vyetu ili tuwe na vyama imara sana kwa maslahi ya taifa letu.