SPIKA NI MTU WA WATU! Pale anapopindisha kidogo anataka mambo yaende mbele! kumbuka kama asingekuwa yeye kuachia wapiganaji wakazungumza, leo hoja nyingi zingekuwa zimepotea na tusingejua kitu! Mimi namuaminia! na SASA hatakuwa na upenyo mbele ya TUNDU LISU! yeye ni MWAMBA MKUU! akishirikiana na wapiganaji mahususi kutoka Upinzani na ndani ya CCM!
Pamoja na yote,spika aliekuwa madarakani alijitahidi kufanya kazi kulingana na sera na taratibu za uspika.lakini kuna maswali makubwa yanayojijenga around him
1.kuandika vimemo kuwakanya wana cccm wabunge kuongea mambo yanayokiuka matakwa ya chama e.g kwa ane kilango
2.kuamua kuzima hoja ya richmond ambayo serikali ilikuwa bado haijatekeleza maagizo yote ya tume
3.kutokuwa mzalendo kwa kushiriki kuponda wabunge waliokuwa na hoja juu ya kupunguza malipo kwa wabunge
4.kusimamia mijadala na kuipitisha bila kufanya marekebisho ya msingi ambayo mara nyingi ilikuwa ikitolewa na kambi ya upinzani.
5.kushiriki kama mbunge na spika kupitisha sheria zinanazokandamiza uhuru wa habari na minority.
Kwa hoja hizo hapo juu,naona bado hatujapata viongozi kama che guavara aliye sema " i rather die standing tha live kneeling" huo ndio ukweli kuna kipindi spika ana kneel kwa ccm na viongozi wa chama.huu ni mtazamo wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.