Nini msimamo wa Zanzibar juu ya muundo wa Serikali?

Mdokezi2

Member
Apr 4, 2014
70
5
Kwa kipindi chote ambacho nimekuwa nikifuatilia vikao vya BMK nimepata mashaka-tena makubwa-juu ya mapendekezo ya Zanzibar juu ya msimamo wao kuhusu muundo wa serikali. Wajumbe walio wengi wanawasilisha kwamba Zanzibar kupitia baraza la wawakilishi lilituma mapendekezo yao juu ya muundo wa serikali kuwa ni serikali tatu. Lakini katika vikao vinavyoendelea hapa Dodoma mawazo ya walio wengi kutoka zanzibar ni serikali mbili!!!! Kama kuna mwenye kujua zaidi tufahamishane hapa!!!
 
Kwa kipindi chote ambacho nimekuwa nikifuatilia vikao vya BMK nimepata mashaka-tena makubwa-juu ya mapendekezo ya Zanzibar juu ya msimamo wao kuhusu muundo wa serikali. Wajumbe walio wengi wanawasilisha kwamba Zanzibar kupitia baraza la wawakilishi lilituma mapendekezo yao juu ya muundo wa serikali kuwa ni serikali tatu. Lakini katika vikao vinavyoendelea hapa Dodoma mawazo ya walio wengi kutoka zanzibar ni serikali mbili!!!! Kama kuna mwenye kujua zaidi tufahamishane hapa!!!

Ukweli ni kwamba ilipendekezwa serikali 3. Hizi serikali 2 wanazozielezea ni baada ya ushawishi wa viongozi wa Tanganyika. Na wana haki kuwa kinyonga kwani viongozi wako na wabunge wote wa Tanganyika wako tayari kuachia kila kitu ambacho kinatakiwa na Wazanzibar. Sijui ungekuwa wewe ungefanyaje!, wakati hata masuala ya ndani wako tayari kuachia!. Ndio maana wote tunasema ni Muungano wa kipekee duniani. Hofu yetu ni pale wananchi wa kawaida wa Tanganyika watakapo fahamu haki yao na wao kuanza kuona kero za muungano kwa upande wao!. Hapa nadhani ndio utakuwa mwisho wa Muungano wa Kipekee duaniani.
 
Je kwa hali hii mnadhani Z'bar wana nia ya dhati kuhusu muungano na katiba mpya kwa ujumla???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom