Nini Mchango wa Msanii Kama Wema Wakati wa Harakati kama za Leo?

Wema ni mrembo ni babe. Alipokelewa CDM na kupewa ulinzi mzito wa chama kwa kuwa baadhi ya viongozi walikuwa wanatafuta namna ya kumweka ndani ya 18 ili wam"do" and they have achieved that. Mission accomplished full stop. Sasa hivi Wema is nobody to CDM and Wema has realized that too.
 
Kaweke hilo dole kwa ma wako aliyekuzaa. Mpuuzi wewe. Unafikiri matusi unayajua peke yako?

Magonjwa hapo nimekuonjesha tu kama Kb 2 za lugha za shombo. Hii ID acha kabisa ni weka mbali na watoto, inaweza lugha za kistaarabu, ina point na ina lugha za shombo ile mbaya. Ukijifanya unajichanganya na mimi ujipange kila channel naiweza, ukija kistaarabu nakujibu kistaarabu, ukileta hoja naina na kuijibu kiungwana sana. Ukija kutafuta mabasha nipo na niko na K Y Jelly kabisa sitaki uchubuke. Tazama hii ID vizuri ni shida, wenzako waliojichanga na mimi waliipata fresh na mpaka leo wanaheshima na mimi nawaheshimu. Ukitaka league ya shombo jipange maana ban itakuhusu kwani washamba huwa mnapandisha jazba kwa haraka na huwa nawamudu. Tazama nimekuprovoke umekuja fasta unahemea juujuu mishipa ya shingo kama unafanyiwa wiring.
 
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.

Anasaidia kuondoa stress
 
Yaani katika watu wapuuzi wewe ni mmoja wapo.

Ndio maana nakutakia usiku mwema kiroho safi, ulikuwa unajichanganya na mimi kishamba, lakini nimekuonjesha shubiri kidogo ili ukae sawa. Niko na kama 100Terrabite shombo tupu kwenye archive, sioni kama kifua chako cha 250gb kinaweza kumudu hiyo volume. Nakukanya, ukitaka hoja njoo kwa hoja. Ukitaka upuuzi fuata mapeasant wenzio, mimi nitakutoa nishai na wewe umekuja mjini ukubwani ukafikia kwa mume wa dada yako kupata kaelimu kwa VETA. Acha kabisa hii ID ni shida mjomba.
 
Ndio maana nakutakia usiku mwema kiroho safi, ulikuwa unajichanganya na mimi kishamba, lakini nimekuonjesha shubiri kidogo ili ukae sawa. Niko na kama 100Terrabite shombo tupu kwenye archive, sioni kama kifua chako cha 250gb kinaweza kumudu hiyo volume. Nakukanya, ukitaka hoja njoo kwa hoja. Ukitaka upuuzi fuata mapeasant wenzio, mimi nitakutoa nishai na wewe umekuja mjini ukubwani ukafikia kwa mume wa dada yako kupata kaelimu kwa VETA. Acha kabisa hii ID ni shida mjomba.
Yaani hata upuuzi wako huuoni wewe kibwengo?
 
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.
Kazi ya Wema ni kumliwaza mwenyekiti haswa baada ya kipigo cha jumapili. Yupo njiani kuelekea Kia
 
Imefika hatua chadema mnatia huruma kwelikweli. watu wanajitahidi kuwashauri, mnaishia kuwaita LB7, tatizo la chama chenu lipo ktk uongozi ambao mimi naweza kuuita wa kiimra, kwa sababu wanachama wa kawaida wamekuwa hawana maamuzi juu ya chama chao, na kwamba maamuzi yote yanatoka juu, na wanachama mnalazimika kuyapokea kama yalivyo.
Chama kinakaribisha watu wa `ajabuajabu' tuu na hakuna wa kuhoji, halafu leo unasema chama kimejipanga kuchukua dola. Ama kwa hakika hili haliwezi kutokea leo ama kesho kwa huu mfumo wenu.
Mbowe na Mashinji wamefikia mwisho ktk mbinu za kisiasa kuweza kukisaidia chama. And there fore, they have to step down.
 
Wema si ndio alimshawishi Nyalandu ahamie Chadema?!


Sasa Nyalandu naye ni asset au mzigo tu? Hajawahi fanya chochote jimboni mwake wala kuchangia hoja yeyoye bungeni, leo hii ndiye awe asset Chadema? Yeye kama alishawishiwa na Wema basi alikuwa alikubali tu ili mwisho wa siku aje kumla Wema kama alivyomla Aunt Ezekiel kule Marekani. Nyalandu ni fuska tu hana ushawishi wowote Chadema zaidi ya kuwa mzigo!
 
Back
Top Bottom