Nini Mchango wa Msanii Kama Wema Wakati wa Harakati kama za Leo?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,761
71,143
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.
 
Usichokijua ni kwamba huyo Wema tayari yupo mbioni kurejea CCM.
Mlikua hamjui kwamba ni rahisi sana kumtongoza au kumgonga mwanamke aliyegombana na bwana ake? Mlipaswa kujipigia tu na kupita zenu kando, sasa nyie mtu mihasira yake mnampa mapokezi na kutangaza ndoa. Hasira Zikipoa lazima arudi kwa bwana ake tena huku akiomba msamaha na kutembea kwa magoti
 
Mkuu Chakaza nikiwashambulia viongozi wa cdm hapa jukwaani kuhusu huo udhaifu wa kupokea wanaccm na kuwapa nafasi kubwa chamani naona kama baadhi ya makamanda hawanielewi. Sasa wangalau naona wewe mwenzangu umeanza kuchukua hatua. Tulipiga kelele sana kuhusu Shibuda tukajiapiza kwa kosa lile, nilidhani kama chama tulijifunza. Uchaguzi wa 2015 ndio tukafanya kosa la kipuuzi kuliko yote unayoyajua wewe kama chama. Huyu Wema saa hii ni kama kumuonea tu. Viongozi wa cdm wajitokeze watupe mchango wake na akiana Masha waliowapa nafasi ya kugombea ubunge wa EALA.
 
Mkuu Chakaza nikiwashambulia viongozi wa cdm hapa jukwaani kuhusu huo udhaifu wa kupokea wanaccm na kuwapa nafasi kubwa chamani naona kama baadhi ya makamanda hawanielewi. Sasa wangalau naona wewe mwenzangu umeanza kuchukua hatua. Tulipiga kelele sana kuhusu Shibuda tukajiapiza kwa kosa lile, nilidhani kama chama tulijifunza. Uchaguzi wa 2015 ndio tukafanya kosa la kipuuzi kuliko yote unayoyajua wewe kama chama. Huyu Wema saa hii ni kama kumuonea tu. Viongozi wa cdm wajitokeze watupe mchango wake na akiana Masha waliowapa nafasi ya kugombea ubunge wa EALA.
 
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.
Kweli kabisa mkuu,,,Hawa watu wengine sio wakuwapokea kwa mbwembwe kwenye chama,,hawana faida yoyote,,,na usije kushangaa ikikaribia uchaguzi mkuu ataomba nayeye eti apewe chance ya kugombea ubunge
 
Ukiwa msanii na kada wa chama cha ccm ukaondoka kwa nyodo utakuja kujuta baadae maana mbinu zote saf na chafu wanazijua,ss mnamtegemea wema atawapa impact gan ktk chama zaid ya uwema wake??
 
Chadema ya sasa ni kama changudoa!

Mnatongozeka kirahisi mno!

Mbaya zaidi unatongoza changudoa alafu unamkabidhi hadi ufunguo wa nyumba?
Umeingia kwenye mjadala usiokufaa. Hapa tunaangalia uwajibikaji wetu ndani ya Chadema hivyo mchango wako hauna faida hapa
 
Mbowe anaweza kuwa ni kiongozi mzuri lakini si mwamikakati. Katika kipindi hiki ambacho hata CCM tuna changamoto kubwa kuliko wakati wowote ule inashangaza kuona chama kama Chadema ni kama hakipo vile. Kipindi cha Dr. Slaa CHADEMA ilikuwa na mvuto wa kipekee sana lakini CHADEMA ya hivi sasa inashangilia mtu kutoka CCM na kujiunga nao. Enzi zile mwana CCM angeweza kujiunga na isiwe habari kabisa na ndiyo maana mwana mikakati Dr. Slaa aliwashauri mumpokee Lowasa, ahojiwe kuhusu tuhuma zake lakini abaki kama mwanachama wa kawaida na asipewe nafasi ya Kugombea.
Lakini Mheshimiwa Mbowe na mahesabu na maono ya kichaga akaona it's now or never. Akautupilia mbali ushauri wa Dr. Slaa na kumkubalia Lowasa kila alichokitaka ikiwemo nafasi mbali mbali kwa watu anaokwenda nao humo CHADEMA. Hata mke wake akazawadiwa ubunge wa viti maalum sema akaukataa. Kwa mseto huo bado mnataka mniambie kuna CHADEMA hapo? Acheni masikhara, njooni CCM tusaidiane kumpinga magufuli kutokea ndani .
 
Chama changu kilitumia nguvu nyingi kumtetea na kumnadi msanii Wema na wengine ikiaminika kuwa wanaweza kutumia fursa ya umaarufu wao katika sanaa kuvuta hisia kwa wengine wakati kama huu makamanda wanapo pambana huko field.
Lakini kwa muono wangu hakuna faida yeyote tuliyopata au tupatayo ukilinganisha na nguvu kubwa iliyotumika kumpokea, kumtetea na hata kumpa nafasi kama mtu wa msaada kwa chama.
Imagine matukio kama haya ya mawakala kupigwa mapanga na nondo na kuumizwa, mtu kama Wema angeposti katika ukurasa wake kuonyesha kusikitishwa nayo jamii ingepokeaje swala hilo? Hata vijana washabiki wake wangeguswa na kujenga taswira mpya ya kuelewa nini kinaendelea.
Sasa tokea kampeni za udiwani zimeanza hadi mabaya haya yanatokea yeye hana habari kabisa na hayamhusu. Lakini utetezi wa maonevu aliokuwa anafanyiwa ndio anaona chama kinamhusu, huu ni ujinga usio vumika kabisa. Nadhani kama chama kitengo cha uenezi tuwe na la kujifunza hapa.
Kama mtu haumizwi na ile damu ya wana Chadema inayomwagwa kwa maumivu makali basi hastahili kuitwa mwenzetu na akae mbali nasi au arudi alikotoka.
Mbowe ni kada mtiifu wa CCM
 
Mkuu JokaKuu sio kulaumiana ni kuambiana ukweli. Na nadhani muhusika mwenyewe kwa vile anaweza kusoma hapa basi ni vema alitambue na kuchukua hatua. Inaumiza sana, chama sio kanisa au msikiti, kila kifanyacho lazima kiwe na faida kwake

..mbona ccm walimtumia vizuri?

..nini kifanyike ili ujio wake uwe na faida kwa chama?

..tukubali kuwa cdm inapigwa mabao ktk level zote.

..sasa collectively watu inabidi warudi kwenye drawing board na kupanga mbinu na mikakati mipya.

..hakuna mwenye afadhali cdm sasa hivi.

..everybody sucks.
 
Back
Top Bottom