Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,024
- 3,561
Hapo kunasamaki na mabondo. Umesema samaki wa grade ya chini kabisa wa milion inamaana wale samake wawe na urefu wa under 50cm ambao watakuwa hawaendi kiwandani. Hao kimamlaka wanahesabika kama mboga ya taifa hawapo kwa ajiri ya kuchakatwa na kuuzwa nje.Nimeupenda bure huu uzi,naomba kujua hiyo biashara ya mabondo inafanyikaje?mfano nikinunua samaki ya grade ya chini kabisa wa sh.milioni 1 naweza kupata faida kiasi gani kwa kadirio la chini?
Sasa katika hawa samaki itatokana na soko uñakowapeleka, ukusanyaji na uhifadhi pamoja na usafirishaji na gharama zake ndo tujue utapata kiasi gani. Kuhusu mabondo ya samaki hawa bondo lake hucheza kati ya gram 25 to gram 29 kwa kila bondo. Hapo nisamaki wa cm 46 to 49. Sasa mfano bei inayocheza mara nyingi ni tsh 100 kwa gram kwa mabondo ya samaki wa size hii. Hivyo sasa wewe tafuta yule samaki aliyetolewa bondo utamuuza sh ngapi kwa soko lako kisha njoo ununue hao samaki huku kerebe bukoba kwa sh 4000 to 5000 kwa kila samaki wa aina hiyo