ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,116
- 1,422
Sisi wakazi wa mkoa huu wa Darisalama na wageni wetu hebu tuorodheshe kero sugu zinazoukumba mkoa wetu huu ili kuwasaidia watatua kero wazisikie na kuzifanyia kazi.
Kwa kuwa hawawezi kufika ktk kila kona basi mimi na wewe ndio wawakilishi wazuri kuziorodhesha kero zetu.
1.Malori kuingia mtaani na kuharibu barabara
2.Njia mbovu
3.Mfumo wa maji taka
4.Garage bubu
5.Wizi wa magari na vifaa vya magari wakati wanunuzi wanajulikana
6.
7.
8
9.
10.
Haya tiririka ndugu
Kwa kuwa hawawezi kufika ktk kila kona basi mimi na wewe ndio wawakilishi wazuri kuziorodhesha kero zetu.
1.Malori kuingia mtaani na kuharibu barabara
2.Njia mbovu
3.Mfumo wa maji taka
4.Garage bubu
5.Wizi wa magari na vifaa vya magari wakati wanunuzi wanajulikana
6.
7.
8
9.
10.
Haya tiririka ndugu