Wana JF,
Kuna thread ilianzishwa na kila mtu akawa anatoa kile anachokifahamu juu ya Ridhiwani. Mimi nimekusanya yale yaliyotolewa na kuyaweka pamoja. Swali langu kuna uhusiano gani kati ya mambo haya (kama ni ya kweli) na uzaifu wa ungozi wa JK + kuyumba kwa uchumi wa nchi? Tufanye nini?
Ridhiwani
- Kahodhi msitu wa sao hill
- Anahujumu usafiri wa treni ili magari yake yapate tenda za kusafiris ha mizigo. hivi sasa ni jino kwa jino kati yake na dr. mwakyembe.. dr. akitaka kufufua usafiri wa reli jamaa anawahi kwa mzazi kuomba kizuizi
- TSN Supermarket zote zake, HOME SHOPPING CENTRE (ushahidi upo)
- KOBIL Tanzania yake,
- Malori ya mafuta davids mosha yake, na malori ya mafuta na visima vya LAKE OIL (Kuna ukweli ndani yake hasa Lake Oil) na magari ya nani vile yanayo-supply mafuta katika migodi ya Geita?. Usie amini uliza wanaoendesha hizi compuni au magari watakuambia au traffic watakuambia kama haya magari yanasifa zipi
- Hotel pale morogoro karibu na stand kuu ya ma bus
- Mgodi wa dhahabu
- Jengo nyuma ya BIG BON sinza mori. (Jengo nyuma ya bigborn siyo la kwake ni stori za vijiweni hizo) (Joyceline)
- Mabas ya DAR LUX yote ya kwake.
- Kampuni ya usafirishaji ya simon group yenye lori zisizopungua 500 (Hili la Simon Group (a.k.a UDA) halina mjadala ana hisa huko)
- Anahusika na makampuni mengi ya serikali kaipa kampuni yake isambaze mafuta
- Kigogo mwsho karibu na ccm kuna eneo wananch wanasema kanunua
- Malaika Hotel na Gold Crest Hotel zote za Mwz.
- Sports lounge kati kati posta-juma pinto ni bosheni tu......,
- Gesi kule mtwara
- Swiss Tower pale karibu na Chuo kikuu MUHAS pia ni yake.
- Hisa kilombero sugar cane (JK)
- Kupendekeza viongozi wanonekana kuwa mabogas.
Chenge anatuhuma ipi? Badwel kisha hukumiwa au mtuhumiwa?
Ridhwan, mtoto wa Jakaya Mrisho Kikwete, mmemshindwa baba'ke mmeamua mumrukie mwanae? amma kweli mmeishiwa.
Nimeuliza kuhusu Mbowe huko juu, naona hauna jibu.