Nini maoni yako baada ya Malissa kuacha siasa za kiharakati na kuwa fundraiser?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,466
20,212
Kijana kutoka Chadema ndugu Godlisten Malisa ameamua kuacha siasa za pingapinga na badala yake ameamua kufanya kazi ya Mungu, kuwasaidia wenye uhitaji.

Japokuwa hamna hata siku moja amewahi kutoka hadharani na kumpongeza rais JPM kwa ushindi na jitihada zake za kuinua maisha ya watanzania lkn ameweza kumpongeza mara kadhaa indirectly.

Sasa hivi amepata wito kutoka kwa Mungu na kuamua kuwasaidia watu wenye uhitaji na kazi hii ameifanya kwa ufanisi mkubwa sana.
Ukurasa wa Malisa umefanya kazi kubwa kwa miezi miwili iliyopita kuliko ulivufanya miaka kadhaa iliyopita.

Mungu mmbariki Malisa katika maisha yake mapya aliyoamua kuishi ya kuwasaidia watu wenye uhitaji. Kijana Malisa ni chumvi ya dunia.
 
Kijana kutoka Chadema ndugu Godlisten Malisa ameamua kuacha siasa za pingapinga na badala yake ameamua kufanya kazi ya Mungu, kuwasaidia wenye uhitaji...
Umefanya vizuri sana, ukifahamu pande zote mbili za Siasa unafanya uchambuzi wa siasa zetu ukiwa sober. Hongera.
 
Kijana kutoka Chadema ndugu Godlisten Malisa ameamua kuacha siasa za pingapinga na badala yake ameamua kufanya kazi ya Mungu, kuwasaidia wenye uhitaji...
Kichwa cha habari na contents ulizoziandika ndani haziendani. Hakuna sehemu hata moja uliyoonyesha kuwa anafanya fundraising na kuacha siasa. Kuacha kupinga haina maana ameacha siasa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom