LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,098
- 27,067
Heshima mbele wakuu. Naombeni mnifahamishe mantiki ya jambo hili. Mpo bar mnapata kilaji, mtu mmoja anapishana kauli na mwenzake, mmoja kati yao anachukua bia nzima, anaifungua na kumwagia mwenzake kwa staili ya kumuogesha, au wakati mwingine, mtu mmoja anakuwa anazingua bar, basi mtu mwingine anachukua anamfuata huyo mzinguaji na kumwagia bia kwa staili ya kumuogesha.
MY QUESTION IS, NINI HASA MANTIKI YA KUMWAGIA ( KUMUOGESHA MTU KWA BIA ?). Ni kwamba, unaonyesha kwamba una pesa sana? au umemdharau sana uliye mfanyia hivyo or what ? Naamini humu wamo walio wahi kuogesha na kuogeshwa kwa bia. Fungukeni wadau
MY QUESTION IS, NINI HASA MANTIKI YA KUMWAGIA ( KUMUOGESHA MTU KWA BIA ?). Ni kwamba, unaonyesha kwamba una pesa sana? au umemdharau sana uliye mfanyia hivyo or what ? Naamini humu wamo walio wahi kuogesha na kuogeshwa kwa bia. Fungukeni wadau