Nini mantiki ya kumwagia mtu bia?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,065
27,002
Heshima mbele wakuu. Naombeni mnifahamishe mantiki ya jambo hili. Mpo bar mnapata kilaji, mtu mmoja anapishana kauli na mwenzake, mmoja kati yao anachukua bia nzima, anaifungua na kumwagia mwenzake kwa staili ya kumuogesha, au wakati mwingine, mtu mmoja anakuwa anazingua bar, basi mtu mwingine anachukua anamfuata huyo mzinguaji na kumwagia bia kwa staili ya kumuogesha.

MY QUESTION IS, NINI HASA MANTIKI YA KUMWAGIA ( KUMUOGESHA MTU KWA BIA ?). Ni kwamba, unaonyesha kwamba una pesa sana? au umemdharau sana uliye mfanyia hivyo or what ? Naamini humu wamo walio wahi kuogesha na kuogeshwa kwa bia. Fungukeni wadau
 
hapo it means kiwango cha ulevi kimeshazidi

Asante sana kaka, ingawa nimeshuhudia matukio mengi tu, mtu yupo sober kabisa ila ndo hivyo tena, anamwagia bia mwenzake
 
Asante sana kaka, ingawa nimeshuhudia matukio mengi tu, mtu yupo sober kabisa ila ndo hivyo tena, anamwagia bia mwenzake

hajawahi kudundwa hadi kulazwa MOI huyo
akipata watu wa kumdunda hatajaribu
 
Sio tabia ya kuiga. Inaweza kupelekea pia msiba baa. Hasa nyakati hizi za leo tuishimo ambapo umilikaji silaha ni mkubwa.
 
Mwingine kama mimi ninapopata kabia kangu sipendi makelele kwa sababu mtu akijilengesha na mzingiua na huwa siishi kummwagia tu bia nampa nakoz za uhakika.
 
Sio tabia ya kuiga. Inaweza kupelekea pia msiba baa. Hasa nyakati hizi za leo tuishimo ambapo umilikaji silaha ni mkubwa.

Yeah ni nouma sana, nilikuwa bar moja leo, kuna jamaa mmoja ( mlemavu fundi nguo ) amekunywa konyagi zake amechangamka, sasa akawa anacheza sana muziki na kutukana sana, wahudumu wakawa wanamwambia aache kutukana but in vain, mwisho wa siku jamaa mmoja alikuwa anapiga supu, akamfuata yule mlevi na kumuogesha kwa bia huku akimtukana. Mlemavu wa watu kawa mpole, nilijisikia vibaya sana
 
Yeah ni nouma sana, nilikuwa bar moja leo, kuna jamaa mmoja ( mlemavu fundi nguo ) amekunywa konyagi zake amechangamka, sasa akawa anacheza sana muziki na kutukana sana, wahudumu wakawa wanamwambia aache kutukana but in vain, mwisho wa siku jamaa mmoja alikuwa anapiga supu, akamfuata yule mlevi na kumuogesha kwa bia huku akimtukana. Mlemavu wa watu kawa mpole, nilijisikia vibaya sana

Hata mimi sijajiskia vyema kwa kusoma tu kisa hiki. Kamdhalilisha sana hata kama jamaa alikuwa anatukana na makelele kibao.
 
Mkuu Likud,
Kwa sisi wacha Mungu kumwagiwa Kilevi(bia) ni dharau ya mwisho hapa duniani. Ni sawa na jamaa zetu fulani ukimpiga au kumrushia kiatu.
 
Hata mimi sijajiskia vyema kwa kusoma tu kisa hiki. Kamdhalilisha sana hata kama jamaa alikuwa anatukana na makelele kibao.

hajamdhalilisha bali alimpa funzo kwa vitendo. Starehe zake zisiwe kero kwa wengine.... Tena alipaswa ampige tukonzi tuwili ili atulie zaidi.
 
Heshima mbele wakuu. Naombeni mnifahamishe mantiki ya jambo hili. Mpo bar mnapata kilaji, mtu mmoja anapishana kauli na mwenzake, mmoja kati yao anachukua bia nzima, anaifungua na kumwagia mwenzake kwa staili ya kumuogesha, au wakati mwingine, mtu mmoja anakuwa anazingua bar, basi mtu mwingine anachukua anamfuata huyo mzinguaji na kumwagia bia kwa staili ya kumuogesha.

MY QUESTION IS, NINI HASA MANTIKI YA KUMWAGIA ( KUMUOGESHA MTU KWA BIA ?). Ni kwamba, unaonyesha kwamba una pesa sana? au umemdharau sana uliye mfanyia hivyo or what ? Naamini humu wamo walio wahi kuogesha na kuogeshwa kwa bia. Fungukeni wadau

utajuaje ana mawe sasa..
 
Back
Top Bottom