Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
Wewe uoni Kama Sports pesa wanafukuzwa, MO hataki ushindani. yeye ndie mkurgenzi wa bodi na yeye ndie anaye miliki biashara zote zinazo husiana na timu.
Hivi watu wa simba watakuja kufunguka lini kuhusiana na mo uwanja umejengwa lakini hauko kwa jina la simba ni mi arena ukiwabana simba wanasema ili mradi tunapata ushindi akili za matopeni kabisa mi endelea kuwanyonya hawa mbumbumbu/Bodaboda/Mikia