Nini malengo ya CUF

Watchman

Member
Nov 21, 2010
25
4
Nilistushwa na kauli ya kijana mmoja akisema eti 'cuf wamefikia malengo yao, 1. maalim kawa makamu wa Raisi 2. Wamepata raisi mpemba. Akina lipumba na wenzake mambo siyo mabaya package yao anayo jk'.Du! sikuamini masikio yangu. Wana JF hayo ndiyo malengo ya political party. Halafu hawa jamaa wenyewe ni pemba tu.hiyo imekaaje?
 
Kuna serikali ya mseto inapiga hodi Tanzania bara kati ya CCM-baba, CCM-mama na viCCM vitoto........
 
Nilistushwa na kauli ya kijana mmoja akisema eti 'cuf wamefikia malengo yao, 1. maalim kawa makamu wa Raisi 2. Wamepata raisi mpemba. Akina lipumba na wenzake mambo siyo mabaya package yao anayo jk'.Du! sikuamini masikio yangu. Wana JF hayo ndiyo malengo ya political party. Halafu hawa jamaa wenyewe ni pemba tu.hiyo imekaaje?

Kisiasa bado CUF wamepiga hatua. Mara hii wameongeza majimbo 5 mapya. Matatu Unguja na 2 Tanzania bara. Kama hawakusinzia kule Tandahimba basi wangekuwa na 3 bara. Kauli ya huyo kijana ni kauli yake haiwezi kuwa ni msimamo wa chama. Cha muhimu zaidi ni kuwa CUF wameweza kuingia kwenye Serikal ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar hili ni jambo kubwa kwani wanaweza kuitumia nafasi hiyo kushawishi mbaadililko kwenye tume ya uchaguzi ili kuwa na uchaguzi huru na wa haki zaidi. CUF iko Unguja, Pemba na bara pia mara hii sikubaliani kabisa na kauli yako ya kusema ni Pemba tuuuuuu. Jee NCCR Mageuzi utasema wao ni Kigoma tuuuu je hii ni sahihi? weka hoja makini ndugu sio ubabaishaji na uchochezi usio na msingi
 
Kisiasa bado CUF wamepiga hatua. Mara hii wameongeza majimbo 5 mapya. Matatu Unguja na 2 Tanzania bara. Kama hawakusinzia kule Tandahimba basi wangekuwa na 3 bara. Kauli ya huyo kijana ni kauli yake haiwezi kuwa ni msimamo wa chama. Cha muhimu zaidi ni kuwa CUF wameweza kuingia kwenye Serikal ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar hili ni jambo kubwa kwani wanaweza kuitumia nafasi hiyo kushawishi mbaadililko kwenye tume ya uchaguzi ili kuwa na uchaguzi huru na wa haki zaidi. CUF iko Unguja, Pemba na bara pia mara hii sikubaliani kabisa na kauli yako ya kusema ni Pemba tuuuuuu. Jee NCCR Mageuzi utasema wao ni Kigoma tuuuu je hii ni sahihi? weka hoja makini ndugu sio ubabaishaji na uchochezi usio na msingi
HAYA NDIO MANENO YANAYOJENGA, UKWELI NDIO HUU NA NINAKUBALIANA NAWE. Ila kwa wanaoongelea ushabiki bila kutathmini ni kinyume chake na ndoto. Kwa sababu wanatazama bila kuona. :teeth:
 
HAYA NDIO MANENO YANAYOJENGA, UKWELI NDIO HUU NA NINAKUBALIANA NAWE. Ila kwa wanaoongelea ushabiki bila kutathmini ni kinyume chake na ndoto. Kwa sababu wanatazama bila kuona. :teeth:

Tunajua lengo loa kuu ni udini. Haya Malengo mengine yana lisindikiza hilo. Sasa lengo lao hilo kuu wamelifikia ua la. Mimi nitakuambia wamelifikisha pahala pazuri sana. Angalia walivyo fanikiwa na wajahidina wenzao ccm uone. Sawasawa?
 
Kuna serikali ya mseto inapiga hodi Tanzania bara kati ya CCM-baba, CCM-mama na viCCM vitoto........
No way! We need a government where the winner is taking the government and the loser takes the opposition. This is not Zimbabwe, Kenya or Zanzibar!
 
Tunajua lengo loa kuu ni udini. Haya Malengo mengine yana lisindikiza hilo. Sasa lengo lao hilo kuu wamelifikia ua la. Mimi nitakuambia wamelifikisha pahala pazuri sana. Angalia walivyo fanikiwa na wajahidina wenzao ccm uone. Sawasawa?
Chama cha CUF ni chama cha haki sawa, sasa kama wewe umaona ni cha kidini hiyo ni kivyako. Sasa hivi kimekuja bara, hata tandahimba na temeke walishinda ila ndo hicyo hila za ccm.
 
chama cha cuf ni chama cha haki sawa, sasa kama wewe umaona ni cha kidini hiyo ni kivyako. Sasa hivi kimekuja bara, hata tandahimba na temeke walishinda ila ndo hicyo hila za ccm.

nijuavyo mimi, katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania, cuf ina wabunge wawili tu!
 
WALE wanaopiga CUF vita sio wapinzani ni mavuvuzela wasio na dira CUF ni chama Mabadala miaka michache ijayo kitakua chama tawala CUF kimeonesha kikiwa na wagombea walio serios kinaweza kushinda popote pale , mfano Kigamboni. Bukoba , Lindi , Kilwa , na Zanzibar yake in general CUF sasa hivi inajipanga mikoa ya Kusini na very soon Kigoma tutaingia kwa kishindo na Musoma na Shinyanga and Mwanza. Kilimnajaro tunawaachia watani wetu wafute machozi.
 
Kisiasa bado CUF wamepiga hatua. Mara hii wameongeza majimbo 5 mapya. Matatu Unguja na 2 Tanzania bara. Kama hawakusinzia kule Tandahimba basi wangekuwa na 3 bara. Kauli ya huyo kijana ni kauli yake haiwezi kuwa ni msimamo wa chama. Cha muhimu zaidi ni kuwa CUF wameweza kuingia kwenye Serikal ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar hili ni jambo kubwa kwani wanaweza kuitumia nafasi hiyo kushawishi mbaadililko kwenye tume ya uchaguzi ili kuwa na uchaguzi huru na wa haki zaidi. CUF iko Unguja, Pemba na bara pia mara hii sikubaliani kabisa na kauli yako ya kusema ni Pemba tuuuuuu. Jee NCCR Mageuzi utasema wao ni Kigoma tuuuu je hii ni sahihi? weka hoja makini ndugu sio ubabaishaji na uchochezi usio na msingi

unaongelea wajumbe wa nyumba kumi toka Zanzibar ambao wako bunge la tanganyika?
 
Nilistushwa na kauli ya kijana mmoja akisema eti 'cuf wamefikia malengo yao, 1. maalim kawa makamu wa Raisi 2. Wamepata raisi mpemba. Akina lipumba na wenzake mambo siyo mabaya package yao anayo jk'.Du! sikuamini masikio yangu. Wana JF hayo ndiyo malengo ya political party. Halafu hawa jamaa wenyewe ni pemba tu.hiyo imekaaje?

Join Date Sun Nov 2010 Posts 7 Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts Rep Power 0YAONEKANA UMETUMWA WEWE , KARIBU JF ILA UMEANZA NA MADA MBAYA , TULIA KWANZA UONE MADA ZINAZOTAKIWA KUWA HUMU ZA GREAT THINKERS
 
Nilistushwa na kauli ya kijana mmoja akisema eti 'cuf wamefikia malengo yao, 1. maalim kawa makamu wa Raisi 2. Wamepata raisi mpemba. Akina lipumba na wenzake mambo siyo mabaya package yao anayo jk'.Du! sikuamini masikio yangu. Wana JF hayo ndiyo malengo ya political party. Halafu hawa jamaa wenyewe ni pemba tu.hiyo imekaaje?

hii ni porojo (pumba)...
 
Back
Top Bottom