Nini Majukumu ya Balozi zetu?

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,967
22,476
Ndugu zangu wana JF ni muda si mrefu nimetoka kuzungumza na ubalozi wetu wa hapa Marekani!
Sikufurahishwa sana na maongezi yetu!
Hata hivyo kabla ya kusema lolote...Naomba tujadili ni nini hasa majukumu ya balozi zetu za nje?
Kwasababu the way they implied ni kwamba they're not neccessarily communicating with the Government!
Tena wanadai eti kwasababu hawajui kila mtanzania aliyeko hapa marekani..Then hawajui wapi alipo Balali!
Na pia eti hawana taarifa zozote za kuwa kuna maafisa saba wamekuja huku USA!
Na pia kuwa taarifa za serikali wanazozitoa zinazoendelea huku marekani wao hawana habari nazo?!
Kwa hiyo habari ya hawa watu kuja ku comb USA ni PR? Je ni habari za kutupumbaza ama zenye kulenga kutuelewesha ukweli?
Je ubalozi unamwakilisha nani hapa marekani kama si serikali ya Tanzania na watu wake?
Majukumu ya balozi zetu ni yapi?

NB:Then wanataka tuandike barua rasmi kwa Balozi na yeye atatoa majibu kwasababu kwa madai yao watu wanapiga simu huko ubalozi kila siku kummulizia Balali!
 
Haya ni baadhi tu niliyo copy n paste..Wanayodai kuwa ni majukumu yao...

The Embassy of the United Republic of Tanzania in the USA has the responsibility of promoting relations of friendship and co-operation between the governments and the peoples of the United Republic of Tanzania and the United States of America. The Embassy is also accredited to Argentina, Brazil, Mexico and Venezuela. The Embassy's responsibilities are in the following areas:
A. Consular Matters
  1. Visa issuance
  2. Dissemination of information and advice to people visiting Tanzania
  3. Renewal of passports for Tanzanian nationals
  4. Passport replacement for Tanzanian nationals
  5. Issuance of Emergency Travel documents (ETD) for Tanzania nationals in distress
  6. Providing advisory services to Tanzania nationals
B. Economic Matters
  1. Promotion of economic diplomacy
  2. promotion of investments
  3. promotion of tourism
  4. Coordination with the World Bank and IMF and other financial institutions
C. Other Matters
  1. Facilitating co-operation between NGOs in Tanzania and NGOs in the area of our representation
  2. Promoting cultural exchange between Tanzania and others in the area of our representation
 
Nikawauliza kuwa kwanini hawana taarifa za haya mambo ya Balali?
Nikawauliza kwani haina maana kuwa hapa kuna uhusiano kati ya marekani na Tanzania kwenye issue hii ya Balali?
Hii ni kutokana na hii...

The Embassy of the United Republic of Tanzania in the USA has the responsibility of promoting relations of friendship and co-operation between the governments and the peoples of the United Republic of Tanzania and the United States of America

Kutokana na hayo hapo juu...Nikamwambia kuwa nina signatures za wamarekani na tuna wiki moja imebaki la sivyo tuna move forward na petition!
Nimewaambia kuwa wao na viongozi wetu wako aware na kinachoendelea na hawatakuwa na mtu wa kumlaumu!
 
Wee Joseph Mushi umeshindwa kujibu mapigo kwenye hoja yako ya Mengi kuwa Rais, sasa umeamua kuanzisha thread mpya kama kawaida yako siyo! Bahati yako wenye tovuti wameamua kuifunga ile mada (your Mangi ass got saved by the bell that is). But beware; next time your Joseph Mushi ass wont be so lucky. Damn Mangi boy!
 
Wee Joseph Mushi umeshindwa kujibu mapigo kwenye hoja yako ya Mengi kuwa Rais, sasa umemua kuanzisha thread mpya siyo! Bahati yako wenye tovuti wameamua kuifunga ile mada. But beware; next time your Joseph Mushi Mangi-ass wont be so lucky. Damn Mangi boy!

Duh!
Inaonekana mmepania!
Kwa taarifa yako niko chini ya ulinzi imara hivi sasa!
Na hamnitishi!
Kinachotakiwa ni mumkamate Balali PERIOD!
 
Wee Joseph Mushi umeshindwa kujibu mapigo kwenye hoja yako ya Mengi kuwa Rais, sasa umeamua kuanzisha thread mpya kama kawaida yako siyo! Bahati yako wenye tovuti wameamua kuifunga ile mada (your Mangi ass got saved by the bell that is). But beware; next time your Joseph Mushi ass wont be so lucky. Damn Mangi boy!

tread careful....!
 
Duh!
Inaonekana mmepania!
Kwa taarifa yako niko chini ya ulinzi imara hivi sasa!
Na hamnitishi!
Kinachotakiwa ni mumkamate Balali PERIOD!

Bahati yako Joseph Mushi, kwani ulikuwa "fair prey" for vicious ruthless animals like yours truly. ;) So next time you better think twice before starting another one of your Mangi-themed threads, understand? Damn Mangi boy!
 
Bahati yako Joseph Mushi, kwani ulikuwa "fair prey" for vicious ruthless animals like yours truly. ;) So next time you better think twice before starting another one of your Mangi-themed threads, understand? Damn Mangi boy!

Nyama Hatari,

Sikuwepo kwenye thread ya Mengi, na labda sistahili kusema lolote. Lakini kama utanivumilia, kiufupi jamaa, Joseph Mushi, alikosea nini ku suggest Mengi au Mjomba wake, au yeye mwenyewe kuwa Rais?

Ahsante.
 
Nyama Hatari,

Sikuwepo kwenye thread ya Mengi, na labda sistahili kusema lolote. Lakini kama utanivumilia, kiufupi jamaa, Joseph Mushi, alikosea nini ku suggest Mengi au Mjomba wake, au yeye mwenyewe kuwa Rais?

Ahsante.

Kuhani Mkuu, Joseph Mushi hakukosea hata kidogo ku-suggest kuwa Mengi (au Mjomba wake au sijui babake mdogo) awe Rais wa Jamhuri ya Tanzania. Alichoshindwa kufanya ni kutetea vilivyo na kuelezea kiufasaha na kwa namna ya kuridhisha ni vipi Mengi angemudu wadhifa wa Urais wa Jamhuri na ule wa Mfanya biashara (au Bepari wa jina kubwa) kutokana na mgogangano wa wazi ambao ungekuwapo kati ya shughuli na majukumu ya nyadhifa hizi mbili.
 
Nenda kwenye ile thread ya Mkapa azomewa ili ukawauliza kwanini walikuzomea!
 
Mnyama hatari wewe ni forces za evil na zitashindwa!
I repeat...Mengi madarakani or not...THE PEOPLE'S RESOLUTION will eventually be the conclusion!
This is how iwas born...And if God wants...Its the way i will face my demise!
 
Kuhani Mkuu, Joseph Mushi hakukosea hata kidogo ku-suggest kuwa Mengi (au Mjomba wake au sijui babake mdogo) awe Rais wa Jamhuri ya Tanzania. Alichoshindwa kufanya ni kutetea vilivyo na kuelezea kiufasaha na kwa namna ya kuridhisha ni vipi Mengi angemudu wadhifa wa Urais wa Jamhuri na ule wa Mfanya biashara (au Bepari wa jina kubwa) kutokana na mgogangano wa wazi ambao ungekuwapo kati ya shughuli na majukumu ya nyadhifa hizi mbili.

Silvio Berlusconi ???(Italy Prime Minister)
 
Wazee hii mada inahusiana vipi na R.Mengi?
Mbona chuki zinatuandama jamani?
Binadamu wa aina gani nyie?
 
I thought hii thread inausu kazi za balozi zetu?
Jmushi, kusema kweli nimeshaimba sana kuhusu ubalozi wetu pale DC, nimeshatuma maoni kuhusu kuchanganya Balozi ya Tanzania in US na ule wa Canada kwani huu wa DC ni kanyaboya unakula tax payer money bure.

Kazi yake sio kufanya lolote, ila ni watendaji wake kudhuru state after state, kwenda kula BBQ na kisha kwenda kwenye nyumba za starehe (stripper clubs). That is their duties, to sip Calfonia wine and watching good looking women.
 
Hii mada ilikuwa dead on arrival dude! Eti "Nini majukumu ya balozi zetu?" Nani achangie "geeky topic" kama hii? Joseph Mushi bora uanze kuandika na kujijibu mwenyewe kama unavyopendaga kufanya. Damn!
 
Hii mada ilikuwa dead on arrival dude! Eti "Nini majukumu ya balozi zetu?" Nani achangie "geeky topic" kama hii? Joseph Mushi bora uanze kuandika na kujijibu mwenyewe kama unavyopendaga kufanya. Damn!

My resolve will never waiver!
AND JUSTICE WILL PREVAIL!
Zamu ako inakuja!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom