Nini madhara ya kutumia madawa wakati wa ujauzito?

katoto kapole

New Member
Nov 4, 2019
3
1
Naomba mnisaidie kitu wakuu,

Hivi mfano mwanamke alikuwa mjamzito akanywa midawa ikamfanya damu zitoke na kukata, ndani ya mwezi damu zimetoka na kukata mara nne akaja tena akatumia Duphastone zile dawa za kuzuia mimba isitoke lakini damu zikawa zinatoka na kukata ila sio nyingi kama mwanzo, je huyo mwanamke anaweza kupata shida gani?

Je kizazi kinaweza kuoza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeleke kwa Daktari. Ila kwa uzoefu nilionao mwambie mkeo akae apumzike!

Kama alikuwa anajishughulisha na chochote aache akae ndani asifanye chochote zaidi ya kulala na kukaa.

Hii inasababishwa na uzito wa mimba kugandamiza majimaji yaliyo chini ya mfuko wa uzazi (wengine wanaita chupa ya uzazi ambayo hupasuka wakati wa kujifungua).

Sasa mkeo inaonekana inataka kupasuka kabla ya wakati na akiendelea kusimama mda mrefu au kutembea mimba itachoropoka!
 
Back
Top Bottom