Nini madhara ya kufanya ngono mara nyingi?

hau
Je kuna madhara Ku sex every day?Wife nae hataki sasa.Anakua na kazi nyingi anachoka sometimes.Ila lengo langu kila siku goli 3
hakuna madhara as long as unafanya na mtu unayemuamini kwa maana ya magojwa, kama haingiliaa ratiba zako za kila siku za kujenga maisha na kama una mke hapo ndo vizuri na pia inasaidia kukuongezea hamu zaidi na ufanisi katika kulifanya na kupunguza stress za hapa na pale ila tu uwe unakula vizuri una replace protein zinazopotea maana ukipiga mashine kwa goli 3 kila siku sperm count per ejaculation lazima ishukue ala in all hakuna madhara kama ni safe sex.
 
hau

hakuna madhara as long as unafanya na mtu unayemuamini kwa maana ya magojwa, kama haingiliaa ratiba zako za kila siku za kujenga maisha na kama una mke hapo ndo vizuri na pia inasaidia kukuongezea hamu zaidi na ufanisi katika kulifanya na kupunguza stress za hapa na pale ila tu uwe unakula vizuri una replace protein zinazopotea maana ukipiga mashine kwa goli 3 kila siku sperm count per ejaculation lazima ishukue ala in all hakuna madhara kama ni safe sex.
Daah asavali umenisaidia sana mimi binafsi
 
Jiandae kwa haya wote kutoka waaminifu mnapotengana kidogo tu. Mkeo kuja kuliwa na vijana pale umri wako utapokua mkubwa na kushindwa kupiga hivyo sasa.

Jiandae kwa magonjwa uzeeni ya kuuchosha mwili ujanani. Mwisho hakuna alieushinda wala kuukomoa uchi wa Mwanamke .
 
Goli 3 kila siku huo muda unatoa wapi? Utakuwa huna kazi inayokukeep busy
 
-Kumchoka mapema mkeo,
-Nguvu kuishiwa mapema
-Kupoteza kumbukumbu kwa urahis
-Kukauka kwa fluid za magoti
-Mwili kuchoka Mara kwa Mara
N:B Fanya kwa kiasi, sio kila siku jipe muda wa kufanya mambo mengine yakuweke busy kuliko kuwaza sex kila leo
 
Katika maisha yangu sikuwahi kuamini kama kuna me wanawaza kukaa miezi hata 4 bila kufanya mapenzi!!!!!
Leo hii toka Korona ilipoingia na kuondoka Tz sijawahi kufanya kabisa!

Kuna wakati nahisi niko The Heage, lakini nimeimudu kwa kuwa busy na job na kuamua kuwa mtu wa Church tu.

Ndugu, jipe break kidogo tu, usiuendekeze mwili, utakuja kujuta mbeleni. Saizi bado mapema.
Hata mimi nilishauriwa sana japo sijaoa ila hiyo hali nilikuwa nayo.
 
Back
Top Bottom