Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 26, 2010 #1 PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!!
PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!!
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,063 4,056 Feb 26, 2010 #2 PEPO= MALAIKA WA SHETANI. PEPO= UPEPO ie PEPO ZA KUSI NA KASKAZI PEPO=SEHEMU WAKAAYO WAFU
F FM JF-Expert Member Jul 2, 2009 202 5 Mar 3, 2010 #3 Katavi said: PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!! Click to expand... Mahali patukufu ambapo inasadikiwa walioishi kwa kuzingatia makatazo yake Mwenyezi Mungu wataishi baada ya kufariki duniani.
Katavi said: PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!! Click to expand... Mahali patukufu ambapo inasadikiwa walioishi kwa kuzingatia makatazo yake Mwenyezi Mungu wataishi baada ya kufariki duniani.