Nini maana ya Pepo!

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,701
PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!!
 
PEPO= MALAIKA WA SHETANI.
PEPO= UPEPO ie PEPO ZA KUSI NA KASKAZI
PEPO=SEHEMU WAKAAYO WAFU
 
PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!!
Mahali patukufu ambapo inasadikiwa walioishi kwa kuzingatia makatazo yake Mwenyezi Mungu wataishi baada ya kufariki duniani.
 
Back
Top Bottom