Mkuu,naona wanachelewa kuja, watakuwa wanashughulika team amboni labda. Ninachohisi inawezekana linamaana moja kwa kikabila cha kwao na maana hiyo ni lazima iwe common kwao na pengine ni kwa kuwa wanaongea lugha karibu moja, yawezekana lina maana moja kama vile kiwahili vile tunasemaga "Wa-ganda, Wa-Kenya, Wa-kongo, Wa- Nyantuzu nk. Au labda ni kama vile Ya - kiunganishi kil kikabila chao labda linakaa mwisho. Au ni kama vile tunasemaga Usukuma-ni, Unyakuysa-ni, Uzaramo-ni, Ukurya-ni, Uhaya-ni, Umatumbi-ni, Dunia-ni, Uchaga-ni, Uhehe-ni, Ugogo-ni n.k.
Haya ni mawazo yangu tu ya kusadikika.
Lakini usikute pia ni kitu kinachoaunganisha wote katika uliwengu wao wa mauaji. Unaweza kukuta ni kitu kama Jambia au damu!.
Who knows? Usilolijua ni usiku wa giza. It can be anything.
Tusubiri waje kiongozi watufafanulie kwa kina! Nitafurahi kufahamu pia kwa kuwa muda mrefu najiuliza ila sikufikiria kuuliza.
Are u for real???????????Au IA kama tanzania, zambia, namibia, argeria, somalia, albania na nyinginezo
Kyrgyzstan, Turkmenistan ongezea na hizi.
Umeeleza vizuri sana mkuu,Ardhi au LAND, ni kama unavosema switzerland,england, ireland, na huku kwetu bongoland
Hahahaha,aisee hii kaliNi kama vile hapa..tegetastan,temekestan, gongolambotostan,mbagalastan,na kadhalikastan
Kwani nini maana ya neno 'ia' kwenye Tanzania, Nigeria Tunisia, Ethiopia, Algeria, Gambia, samalia, Mauritania, Liberia, Namibia????Nini maana ya neno STAN lile linaloishia kwenye nchi kama Pakistan ,Afghanstan, Kazastan, Uzerbarjanstan,na je Nchi hizi zinahusiana kihistoria?
Sawa mkuuKwani nini maana ya neno 'ia' kwenye Tanzania, Nigeria Tunisia, Ethiopia, Algeria, Gambia, samalia, Mauritania, Liberia, Namibia????
Akili kumkichwa ebooh..!
Ahaha ahahhaSTAN-Bakora
duh kweli jf ni zaidi googleMaana yake ni nchi ya ... hivyo Hindu stan ni nchi ya Wahindu, Paki-stan ni nchi ya Wapaki, Afghan-stan ni nchi ya Waafghan, Kazak-stan ni nchi ya Wakazak n.k!
wanagooglestan ndio maanastan wanapata majibustanduh kweli jf ni zaidi google
Kwani nini maana ya neno 'ia' kwenye Tanzania, Nigeria Tunisia, Ethiopia, Algeria, Gambia, samalia, Mauritania, Liberia, Namibia????
Akili kumkichwa ebooh..!
Nimeipenda hiyoMaana yake ni nchi ya ... hivyo Hindu stan ni nchi ya Wahindu, Paki-stan ni nchi ya Wapaki, Afghan-stan ni nchi ya Waafghan, Kazak-stan ni nchi ya Wakazak n.k!
Bila upotoshaji ulio kwenye posts zingine kwenye persian languages - waturuki, wakurdi, iraq, n.k. maana ya 'stan' ni land kama baadhi ya wadau walivyokwisha sema. Katika lugha hizo, 'bad' kama ilivyo kwenye neno Islamabad maana yake ni mji au jiji. Ni sawa na kusema Mexico-city.post: 16317784 said:Mkuu,naona wanachelewa kuja, watakuwa wanashughulika team amboni labda. Ninachohisi inawezekana linamaana moja kwa kikabila cha kwao na maana hiyo ni lazima iwe common kwao na pengine ni kwa kuwa wanaongea lugha karibu moja, yawezekana lina maana moja kama vile kiwahili vile tunasemaga "Wa-ganda, Wa-Kenya, Wa-kongo, Wa- Nyantuzu nk. Au labda ni kama vile Ya - kiunganishi kil kikabila chao labda linakaa mwisho. Au ni kama vile tunasemaga Usukuma-ni, Unyakuysa-ni, Uzaramo-ni, Ukurya-ni, Uhaya-ni, Umatumbi-ni, Dunia-ni, Uchaga-ni, Uhehe-ni, Ugogo-ni n.k.
Haya ni mawazo yangu tu ya kusadikika.
Lakini usikute pia ni kitu kinachoaunganisha wote katika uliwengu wao wa mauaji. Unaweza kukuta ni kitu kama Jambia au damu!.
Who knows? Usilolijua ni usiku wa giza. It can be anything.
Tusubiri waje kiongozi watufafanulie kwa kina! Nitafurahi kufahamu pia kwa kuwa muda mrefu najiuliza ila sikufikiria kuuliza.
nazan hapo ulimaanisha Uzbekistan kuna Azerbaijan . Kuna zingine pia Kyrgyzstan. Wakurd nao wanataifa Lao lisiotambulika Kurdistan ambalo ni katkat ya Iran uturuk Iraq na Syria. Wana ndoto la kuanzisha taifa laoNini maana ya neno STAN lile linaloishia kwenye nchi kama Pakistan ,Afghanstan, Kazastan, Uzerbarjanstan,na je Nchi hizi zinahusiana kihistoria?
Sawa mkuunazan hapo ulimaanisha Uzbekistan kuna Azerbaijan . Kuna zingine pia Kyrgyzstan. Wakurd nao wanataifa Lao lisiotambulika Kurdistan ambalo ni katkat ya Iran uturuk Iraq na Syria. Wana ndoto la kuanzisha taifa lao