Nini maana ya neno DHAIFU??

OGOPASANA

JF-Expert Member
Apr 30, 2009
262
144
Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kujua maana ya neno 'dhaifu' kwa wale mnaofahamu.
 
Dhaifu hasa kwa upande wa kiongozi ni yule mwoga au mzembe wa kutoa maamuzi kwa wakati. Mara nyingi mtu wa aina hii hupenda Ku-blame watu wa chini yake ambao pia ana madaraka na maamuzi yote juu yao. Kama ni ugonjwa, unaweza kusema kwamba huyu mtu anaumwa UMAMWI (Upungufu wa Maamuzi Mwilini)
 
Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk
 
Mkuu OGOPASANA

Naomba nitoe maana kwenda kwa Kingereza.

Kwa mujibu ta KAMUSI ya TUKI


dhaifu

1. faint, weak, feeble, spineless; decrepit.
2. of poor quality, frail, deficient, base.
 
Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk

Ongeza: hafifu, pungufu, legelege, nyonge, -sio na dhamira.
 
Maana ''dhaifu'' = Ni kitu kisicho na mashiko, isiyo kuwa na sifa, isiyovutia, enye afya mbovu, iliyokosa unono, namna duni duni, isiyo na uwezo au nguvu, isiyo kakamavu nk

Ongeza: hafifu, pungufu, legelege, nyonge, -sio na dhamira.
 
Dhaif: A hadith that lacks the attributes of the sahiih and hasan and is therefore not acceptable as daliil.
 
DHAIFU KWA MAANA NYINGINE NI TABASAMU,CHEKA,FURAHI KWA KILA KITU,UHANDSOME BOY,SAFARI NYINGI MAMTONI MPAKA UNAZIMIA KWENYE NDEGE MARA KUMI,KUPIGA PICHA NA BECHAM NA 50 CENTS,PIGA PICHA NA BOYS 2 MEN,HUDHURIA MISIBA MINGI NA ELEKEZA MAHAKAMA HUKUMU YA KUSOMA KWENYE MATOKEO YA UBUNGE KAMA ARUSHA NA SEGEREA,TOA AHADI NYINGI ZISIZOTEKELEZEKA NA KUANGUKA KWENYE MIKUTANO KAMA JANGWANi
 
Dhaifu pia ni kuanguka anguka kwenye mikutano kama jangwani na kwenye ndege ukiwa unavisit mamtoni
 
DHAIFU KWA MAANA NYINGINE NI TABASAMU,CHEKA,FURAHI KWA KILA KITU,UHANDSOME BOY,SAFARI NYINGI MAMTONI MPAKA UNAZIMIA KWENYE NDEGE MARA KUMI,KUPIGA PICHA NA BECHAM NA 50 CENTS,PIGA PICHA NA BOYS 2 MEN,HUDHURIA MISIBA MINGI NA ELEKEZA MAHAKAMA HUKUMU YA KUSOMA KWENYE MATOKEO YA UBUNGE KAMA ARUSHA NA SEGEREA,TOA AHADI NYINGI ZISIZOTEKELEZEKA NA KUANGUKA KWENYE MIKUTANO KAMA JANGWANi
duuu we ni noma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom