Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Saivi ukiwa mjini utasikia tu vijana na mabinti wanasema :
" Mimi siyo wa nchi hii wewe...". " Hii siyo ya nchi hii …" Au " Yule si wa nchi hii".
Ni tumsemo tunatokuja kwa kasi sana kama ule wa '' jomoni...''.
Neno " wa nchi hii" nini maana yake ?
Watu wa Dar es Salaam tusaidieni.
" Mimi siyo wa nchi hii wewe...". " Hii siyo ya nchi hii …" Au " Yule si wa nchi hii".
Ni tumsemo tunatokuja kwa kasi sana kama ule wa '' jomoni...''.
Neno " wa nchi hii" nini maana yake ?
Watu wa Dar es Salaam tusaidieni.