Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
Nini maana ya msemo " Riziki Mafungu Saba". Wanajukwaa nini maana ya huu msemo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetishaFalsafa hii ina maana kwamba mtu ana njia nyingi/kazi nyingi/ deal nyingi/ sehemu nyingi/ watu wengi/ nafasi nyingi nk za kumwezesha kujikumu kimaisha. Kwahiyo umekosa hapa, au kunyimwa na yule, au kushindwa kule jaribu kutafute kwingine au kivingine utafanikiwa sio kung'ang'ania hapo hapo.