Mkuu mimi bakora sina neno nazo kama hiyo ndo gharama ya kujifunza....na Rep power nini mkali, then kuna hiyo title hapo pembeni ya avatar naona inabadilika automatically...how does it work?Jibu unalo mwenyewe, angalia idadi ya post zako na muda tangu ujiunge. Hovyooooooooooooooo! Mapenzi, Mahusiano na Urafiki (MMU). Next time ntakutandika bakora
ubarikiwe mwaya! kuuliza si ujinga ameuliza alitaka kujua!PM= Private message na MMU ni jukwa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki
Na FF ni faiza fox
Vipi hii 'LOL'