GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Kuna Thread moja ameianzisha Pakajimmy ya waziri wa Kenya anaitwa Njonjo ambaye hapandi ndege inayoendeshwa na mswahili na anajuta kuzaliwa mswahili, tukija katika swali langu la manjojo, hili neno lina uhusiano na huyu waziri Njonjo?? au lina maana gani? cause nimewahi kuwasikia watu wakisema: "naye huyu ana manjonjo"