Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Habarini za mchana wana lugha.
Nimekuwa nikisikiliza mara kadhaa nyimbo za wasanii wa hapa bongo na nyimbo zao zikiwa na maneno tata au majina ya nyimbo zenyewe kuwa na ugumu kung'amua maana, kwa mfano nini maana ya maneno haya hapa:
1. Kitorondo (jina la wimbo wa Diamond Platnumz)
2. Kwangwaru (jina la wimbo wa Harmonize na Diamond Platnumz)
Basi kwa yeyote mwenye kujua maana ya maneno hayo naomba maana zake na kama kuna maneno pia unayasikia kwenye nyimbo nyingine huyaelewi naomba uzi huu uhusike kuuliza na kujuzana maana ili tuijue lugha yetu vizuri.
Ahsante.
Nimekuwa nikisikiliza mara kadhaa nyimbo za wasanii wa hapa bongo na nyimbo zao zikiwa na maneno tata au majina ya nyimbo zenyewe kuwa na ugumu kung'amua maana, kwa mfano nini maana ya maneno haya hapa:
1. Kitorondo (jina la wimbo wa Diamond Platnumz)
2. Kwangwaru (jina la wimbo wa Harmonize na Diamond Platnumz)
Basi kwa yeyote mwenye kujua maana ya maneno hayo naomba maana zake na kama kuna maneno pia unayasikia kwenye nyimbo nyingine huyaelewi naomba uzi huu uhusike kuuliza na kujuzana maana ili tuijue lugha yetu vizuri.
Ahsante.