four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 904
- 1,399
Habari wadau,
Kwa muda sasa nimekuwa nikiona post mbalimbali za misiba na huzuni mbalimbali Facebook, instagram na humu jamii zikipewa likes.
Kwa uelewa wangu like inatolewa pale mtu anapopenda kilichopostiwa au kufurahishwa na kilichopostiwa, je ina maana wanaolike post za misiba wamependa muhusika kufiwa au kupata balaa flan alilopost?
Sambamba na hilo kuna wale wanaopost SMS ambazo wanazielekeza either kwa mungu au watu ambao wameshafariki napo huwa pananichanganya je aliyekufa anarudi kusoma post mitandaoni? Je Mungu nae huwa anaperuzi mitandaoni?
Labda wajuzi wa mambo mnisaidie kuelewa hayo mambo kama nilivyouliza 1 likes katika post za misiba na huzuni 2 post zinazoelekezwa kwa wafu au Mungu mfano "umenitendea makubwa eeh bwana", au "umenifanya ning'are eeh bwana"je huyo bwana anaperuzi mitandao? Au ingekuwa vyema hayo yakasemwa katika dua na maombi binafsi?
Kwa muda sasa nimekuwa nikiona post mbalimbali za misiba na huzuni mbalimbali Facebook, instagram na humu jamii zikipewa likes.
Kwa uelewa wangu like inatolewa pale mtu anapopenda kilichopostiwa au kufurahishwa na kilichopostiwa, je ina maana wanaolike post za misiba wamependa muhusika kufiwa au kupata balaa flan alilopost?
Sambamba na hilo kuna wale wanaopost SMS ambazo wanazielekeza either kwa mungu au watu ambao wameshafariki napo huwa pananichanganya je aliyekufa anarudi kusoma post mitandaoni? Je Mungu nae huwa anaperuzi mitandaoni?
Labda wajuzi wa mambo mnisaidie kuelewa hayo mambo kama nilivyouliza 1 likes katika post za misiba na huzuni 2 post zinazoelekezwa kwa wafu au Mungu mfano "umenitendea makubwa eeh bwana", au "umenifanya ning'are eeh bwana"je huyo bwana anaperuzi mitandao? Au ingekuwa vyema hayo yakasemwa katika dua na maombi binafsi?