Nini maana ya kuwa na strong password?

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,213
56,849
Habarini humu waungwana?

Kuna swala mimi linanitatiza juu ya nywira(password), Kwanini wanatusihi kuwa na nywira ngumu ikiwa Kuna uwezekano wa kuweza kudukuliwa..? Let's say mfano niweke nywira hii Kenzy1234,hii watasema ni dhaifu hivyo strong watataka iwe ya mfano huu X#@Bata52,Sasa hoja yangu inakuja Kama ni mdukuzi akidukuwa kwani hiyo nywira wanayoiita ngumu hawezi kuiona?

Maana katika kumbukumbu zangu hapahapa bongo kuna chuo website yake ilikuwa hacked yani password na jina la mtu vikawa vinaonekana njenje ukichukua ukaweka ngoma ina log in!!..😂

Sasa kwa mambo Kama haya Kuna umaana upi wa kuwa na strong password ikiwa vinaweza kudukuliwa...??
 
Lengo ni kupunguza majanga ..... especially kwa hata wasiojua hacking basi wakae pembeni...
Imagine kila mda kuna wajinga wajinga wanajarbu kulogin kweny account zako..sema hawatoboi...sasa uweke username jina lako, password mwaka wako wa kuzaliwa...si hata mkeo atapenya..
 
Habarini humu waungwana..?

Kuna swala mimi linanitatiza juu ya nywira(password), Kwanini wanatusihi kuwa na nywira ngumu ikiwa Kuna uwezekano wa kuweza kudukuliwa..? Let's say mfano niweke nywira hii Kenzy1234,hii watasema ni dhaifu hivyo strong watataka iwe ya mfano huu X#@Bata52,Sasa hoja yangu inakuja Kama ni mdukuzi akidukuwa kwani hiyo nywira wanayoiita ngumu hawezi kuiona..??
Maana katika kumbukumbu zangu hapahapa bongo kuna chuo website yake ilikuwa hacked yani password na jina la mtu vikawa vinaonekana njenje ukichukua ukaweka ngoma ina log in!!..😂

Sasa kwa mambo Kama haya Kuna umaana upi wa kuwa na strong password ikiwa vinaweza kudukuliwa...??
Kuna njia ya kuhack password inaitwa Brute force, njia hii inakuwa ina guess password inajaribu kila namba na password maarufu, assume wangekuwa wanataka password ziwe namba mbili ina maana mtu akigues mara 100 tu kuanzia 0 mpaka 99 atakuwa amepata password yako.

Kwa computer nzuri kubwa kenzy1234 ni password yenye herufi na namba na character 8 hii chini ya masaa mawili inadukuliwa, ila ikiwa na character na combination ya herufi kubwa na ndogo itachukua siku kadhaa.

Ila ukiweka password ngumu kuna njia nyengine kama phishing, database breach, logging etc Mtu anaweza kuiba account.
 
Kuna njia ya kuhack password inaitwa Brute force, njia hii inakuwa ina guess password inajaribu kila namba na password maarufu, assume wangekuwa wanataka password ziwe namba mbili ina maana mtu akigues mara 100 tu kuanzia 0 mpaka 99 atakuwa amepata password yako.

Kwa computer nzuri kubwa kenzy1234 ni password yenye herufi na namba na character 8 hii chini ya masaa mawili inadukuliwa, ila ikiwa na character na combination ya herufi kubwa na ndogo itachukua siku kadhaa.

Ila ukiweka password ngumu kuna njia nyengine kama phishing, database breach, logging etc Mtu anaweza kuiba account.
Ahsante mkuu
 
Kuna njia ya kuhack password inaitwa Brute force, njia hii inakuwa ina guess password inajaribu kila namba na password maarufu, assume wangekuwa wanataka password ziwe namba mbili ina maana mtu akigues mara 100 tu kuanzia 0 mpaka 99 atakuwa amepata password yako.

Kwa computer nzuri kubwa kenzy1234 ni password yenye herufi na namba na character 8 hii chini ya masaa mawili inadukuliwa, ila ikiwa na character na combination ya herufi kubwa na ndogo itachukua siku kadhaa.

Ila ukiweka password ngumu kuna njia nyengine kama phishing, database breach, logging etc Mtu anaweza kuiba account.
Nimekupata@chief mkwawa
 
Habarini humu waungwana?

Kuna swala mimi linanitatiza juu ya nywira(password), Kwanini wanatusihi kuwa na nywira ngumu ikiwa Kuna uwezekano wa kuweza kudukuliwa..? Let's say mfano niweke nywira hii Kenzy1234,hii watasema ni dhaifu hivyo strong watataka iwe ya mfano huu X#@Bata52,Sasa hoja yangu inakuja Kama ni mdukuzi akidukuwa kwani hiyo nywira wanayoiita ngumu hawezi kuiona?

Maana katika kumbukumbu zangu hapahapa bongo kuna chuo website yake ilikuwa hacked yani password na jina la mtu vikawa vinaonekana njenje ukichukua ukaweka ngoma ina log in!!..😂

Sasa kwa mambo Kama haya Kuna umaana upi wa kuwa na strong password ikiwa vinaweza kudukuliwa...??
strong nywila sio kuwa zinakuwa haziwezi kudukuliwa laaa, ila itamchukua mda mrefu mdukuzi hadi aje kuguess hio nywila compared to nywila ya kawaida ndomana tunashauriwa kutumia strong nywila ambazo zina mchanganyiko wa character kama @#!? ni hivyo mkuu
 
Habarini humu waungwana?

Kuna swala mimi linanitatiza juu ya nywira(password), Kwanini wanatusihi kuwa na nywira ngumu ikiwa Kuna uwezekano wa kuweza kudukuliwa..? Let's say mfano niweke nywira hii Kenzy1234,hii watasema ni dhaifu hivyo strong watataka iwe ya mfano huu X#@Bata52,Sasa hoja yangu inakuja Kama ni mdukuzi akidukuwa kwani hiyo nywira wanayoiita ngumu hawezi kuiona?

Maana katika kumbukumbu zangu hapahapa bongo kuna chuo website yake ilikuwa hacked yani password na jina la mtu vikawa vinaonekana njenje ukichukua ukaweka ngoma ina log in!!..😂

Sasa kwa mambo Kama haya Kuna umaana upi wa kuwa na strong password ikiwa vinaweza kudukuliwa...??
Jamaa wameshasema itachukua muda kugundua nywila sio nywira, kuna factor nyingi sana hatakama nywila zitakuwa strong intagemea na algorithm inayotumika kuzificha/hash sasa kama hao wa yudom mbona ni issue simple wait hawakutumia algorithm yoyote kuficha hizo nywila na aliegundua hilo ni either alitambua Mahala ambapo sio rahisi kufikika mfano database inayoifadhi nywila haikuwa secure ama backup file lenye datatbase ikiwa na data limo kwenye folder ambalo sio secure, non https protocol inaweza kuwa sababu ama hawakufanya configuration vizuri wakati wanahost kuzuia direct access ya mafolder, hivyo hata mjinga akiandika labda:
jamiiforum.com/user/database.sql
Ina download Hilo file la database na humo tunakutana na username na password ambapo password hizo hazikuwa hashed kumpa ugumu mtu kuingia mpaka adecrypt na itachukua muda wengine tunatumia tool za forensic kwenye strong pc kufanya decryption.


Ukikuta nywila zimefichwa hata kama una user name uingiii kizembe labda kama dev walikuwa wazembe mimi swala la UDOM naona huwa ni uzembe walikosa maarifa ya security waliounda mfumo na kuhost.

Chuo kimoja kikubwa hapa TZ jamaa mmoja zamani(sitaki mmwaka) alikuwa anaweza kubadili matokeo yake kwenye system na mpaka anamaliza sijui kama walifanya ufundi hapo baadae.

Ila swala labda la insta au Facebook ukiakiwa Ni uzenbe wako sio wako/sisemi kwamba haiwezekani ila mpaka mtu ahack account yako uliuna vitu akivipata anahela sasa sijui kama ni hobby TU.

Kwa hiyo kuwa na strong password ni one factor the next is our apps and algorithm za security.
 
Kuna njia ya kuhack password inaitwa Brute force, njia hii inakuwa ina guess password inajaribu kila namba na password maarufu, assume wangekuwa wanataka password ziwe namba mbili ina maana mtu akigues mara 100 tu kuanzia 0 mpaka 99 atakuwa amepata password yako.

Kwa computer nzuri kubwa kenzy1234 ni password yenye herufi na namba na character 8 hii chini ya masaa mawili inadukuliwa, ila ikiwa na character na combination ya herufi kubwa na ndogo itachukua siku kadhaa.

Ila ukiweka password ngumu kuna njia nyengine kama phishing, database breach, logging etc Mtu anaweza kuiba account.
Computer ya kisasa itatumia miaka 5 na miezi minne ku crack '8 characters passwords' kama 'kenzy1234' na sio siku mbili

Kama sijakosea nahisi ulimaanisha botnet ambayo inachukua nusu saa
 
Inategemea mdukuaji kapata nywila yako katika mazingira gani?

Kama kaikuta kwenye notebook yako hata kama ingekua ngumu na ndefu kiasi gani isingesaidia

Ana copy na ku paste tu

Kuna tovuti mbovu ambazo hazifanyi hashing kwenye passwords za wateja wao, ikitokea mdukuzi amepata access ya database yao, basi ana access ya passwords za watumiaji wote

Ila kama yote hapo juu yakiepukika

Computer ya kisasa itachukua miaka 5.4 ku brute force password yako, Botnet itachukua nusu saa

Kuchanganya 'alama' au special characters kuna slow down cracking

10 characters passwords, itaigharimu Botnet siku 83

Trick sio ku mix characters tu,trick ni kuchanganya herufi kubwa na ndogo pia

Password kama hii %2BGbv[>8k#
Itaigharimu computer ya kisasa miaka 289,217 kui crack

40 characters haiwezekani kuwa cracked yoyote yule
 
Computer ya kisasa itatumia miaka 5 na miezi minne ku crack '8 characters passwords' kama 'kenzy1234' na sio siku mbili

Kama sijakosea nahisi ulimaanisha botnet ambayo inachukua nusu saa
Nimesema masaa mawili kenzy1234 na njia hio ni mpya ya kutumia Gpu tofauti na iliyozoeleka ya cpu.

Rtx gpu zinacrack hadi password milioni 600 kwa sekunde, kama hio pass haina capital letter tunaongelea suala la chini ya dakika 10, kwa hizo variation billioni 200.

Na Hapa tunazungumzia Consumer Gpu ambazo zinapatikana Mtaani ukitumia proffesional kama Titan pengine ukawa muda mchache zaidi.
 
Back
Top Bottom