Unaiba pesa /unafanya dili haramu kupata pesa ,kisha hiyo pesa iliyopatikana unafungulia biashara halaliHili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi
Unaiba pesa /unafanya dili haramu kupata pesa ,kisha hiyo pesa iliyopatikana unafungulia biashara halaliHili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi
Unaiba pesa /unafanya dili haramu kupata pesa ,kisha hiyo pesa iliyopatikana unafungulia biashara halali
Mkuu, wengi wa wa Tanzania wakiwemo wanasheria hawaijui sheria ya utakatishaji pesa
Wanachofanya baadhi ya askari wa usalama barabarani ni kuchukua hongo/rushwa na sio utakatishaji hata kama atatumia pesa hizo kununua pikipiki au gari ya kutembelea
Kuna hatua kadhaa lazima zitimie ili tuhuma(kosa) analokamatwa/shtakiwa nalo mtu liingie kwenye utakatishaji. Na kiuhalisia kwa Tanzania hapa ni wachache wanaweza kuingia moja kwa moja kwenye mashtaka hayo
Ndio maana sasa hivi kuna watu wengi sana wametoka magerezani walipokua wanashikiliwa kusubiria kesi zilizokua zinaitwa UTAKATISHAJI PESA(MONEY LAUNDERING )
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka chini ya Mkurugenzi wake wa sasa Bwana Sylvester Mwakitalu imeona kua watu wengi walikua wanabambikiwa shitaka la UTAKATISHAJI PESA ili tu kuwanyima haki yao ya kufuatilia kesi zao wakiwa nje kwa dhamana. Kwa maana nyingine sheria ilikua inatumika kuwaadhibu watu kabda hawajatiwa hatiani na Mahakama
Makosa yaliyopo Tanzania ni pamoja na ukwepaji kodi, matumizi mabaya ya ofisi, kughushi, kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu, wizi nk na katu sio utakatishaji kama ilivyokua inatafsiriwa na waendesha mashtaka enzi za DPP Biswaro Mganga
... in brief ni kutumia hela iliyopatikana kiharamu (mihadarati, rushwa, ujambazi, etc) kufanya shughuli halali ili machoni pa umma na vyombo vya dola ionekane imepatikana kihalali wakati sivyo.Hili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi