Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,186
- 79,385
Wajameni, nimemsikiliza Mh Rais ila pale aliposema maneno kupigwa tunch nimeshindwa kumuelewa. Nisaidiane..
Mkuu Geza kupiga tanchi ni kuruka dau katika ujanja kuwahi na ujanja kupata.Wajameni, nimemsikiliza Mh Rais ila pale aliposema maneno kupigwa tunch nimeshindwa kumuelewa. Nisaidiane..
Mkuu Geza kupiga tanchi ni kuruka dau katika ujanja kuwahi na ujanja kupata.
Tanchi imefanyika kwa kununua ndege mbili kati ya ndege 10 za order ya ndege za shirika la ndege la Kazakhstan ambazo wangenunua kwa mkopo. Tuliweza kuwapiga tanchi Kazakhstan kwa sababu sisi tulilipa cash! . Ni jambo la ajabu sana kwa nchi kununua kitu kikubwa kama ndege kwa cash badala ya hire purchase! . Na kwa nchi masikini kama Tanzania ni ajabu zaudi.
Rais amesema badala ya Tanzania kutoa order za ndege zake ambazo huwa zina take time kutengenezwa, tutaendelea kupiga tanchi order za watu wengine kwa kubeba koba la mihela na kuzilipia cash.
Pasco
Mkuu Retired kiukweli ni ajabu, ila Watanzania hawajashangaa!, lengo la hire purchase pia ni guarantee ya adaptation kama sio adaptive zinarudishwa unajengewa nyingine more adaptive. Kwanza tumenunua ndege za watu, kisha tunalipa cash kwa guarantee gani my God!.Nonsense, at the expense of masikini kukosa aspirin, masikini kukosa mikopo, Nonsense
Mkuu Geza, soon tutaanza kula matunda ya kupiga tanchi.Wajameni, nimemsikiliza Mh Rais ila pale aliposema maneno kupigwa tunch nimeshindwa kumuelewa. Nisaidiane..