Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
Mimi si mtaalamu wa sheria, ila naona utumishi wanachanganya watu. Mfano, unakuta mtumishi hayupo kazini bila taarifa kwa muda wa siku kadhaa, na ukaja ukapewa barua ya utoro kazini, charge sheet na ukaeleza kuwa nilikuwa naumwa na bado naumwa kabla ya zile siku kumi na nne. Baada ya hapo, ukapewa onyo, na ukapewa masharti kuwa sasa omba ruhusa kamili. Nikaandika ruhusa, ila sikupewa wakati details za hospitali zinaonyesha kuwa naumwa. ghafla, nikakatiwa mshahara wkti bado naumwa. Huu ni mwezi wa nane sasa bado naumwa. je, hapo mimi ni mtoro au si mtoro? Maana mi najua kosa la utoro liliisha baada ya charge sheet na kueleza tatizo ni nini.
Hili la kukatiwa mshahara ni sheria ipi inasema ninyimwe
Hili la kukatiwa mshahara ni sheria ipi inasema ninyimwe