mi sipendagi kusikia hivy..basi tu sema siwezi kuziba mdomo wa mtu Bantu lady
Ngoja na mimi nisubirie majibu nipate kujua maana ya hilo neno
Katangazeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
asante mkuu kama hutojali katika hiyo muvi limetumika kwa vipi? unaweza nisaidia maelezo kidogo samahani kwa usumbufu lakiniwametoa kwenye muvi ya kibongo inaitwa Kigodoro