Nilikuwa naendesha gari yangu ghafla gari ikazima, nilijaribu kuwasha ikagoma ikaleta hii taa kwenye dashboard. Baadae ikawaka lakini hii taa bado ipo. Naombeni kujua nini shida hasa? Nimejaribu kucheki online inaonekana ni transimission, lakn najiuliza tran inawezaje kilusababisha gari izime ikiwa inatembea?
Gari ni BMW e46
Gari ni BMW e46