View attachment 16185
Hapo Jk na Mama Salma wote kwa pamoja wakiwa wameshikana mikono simultaneously
na Mgombea Urais wa TLP,Mr Muttamwega wakiwa msibani....
toa maoni yako
kawaida tu upinzani sio kwamba mkikutana mnapotezeana, upinzani ni jukwaani tu mbona hata Maalim Seif alimkumbatia Shein juzi
Walikuwa wanamshukuru kwa kupunguza nguvu ya Padri Slaa
kawaida tu upinzani sio kwamba mkikutana mnapotezeana, upinzani ni jukwaani tu mbona hata Maalim Seif alimkumbatia Shein juzi
Ukweli ni kuwa JK anamwambia Mamaaa hivi....."Mama Ridhiwan huyu anaitwa Mutamwega Batt anataka kutuondoa pale Ikulu"..... Halafu jamaa anamuangalia kwa usongo huyu mama kama vile anamwambia .."Yaani unamfanyia kampeni mumeo... haya tutaona"
Walikuwa wanamshukuru kwa kupunguza nguvu ya Padri Slaa