Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,158
- 1,944
habarini,
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikisikia kauli tajwa hapo juu wakati wa kesi mahakamani naomba kufahamishwa.
Nini maana yake?
Ni katika mazingira gani anaruhusiwa kufanya hivyo?
Je, mahakama inaweza kumkatalia?
Karibuni niko tayari kujifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikisikia kauli tajwa hapo juu wakati wa kesi mahakamani naomba kufahamishwa.
Nini maana yake?
Ni katika mazingira gani anaruhusiwa kufanya hivyo?
Je, mahakama inaweza kumkatalia?
Karibuni niko tayari kujifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app