GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,787
- 3,050
Kwanza niwasaalimu ndugu na jamaa zangu ni matumaini yangu mko swadakta na mnapambana bado,hamjakata tamaa,na hongereni kwa wale ambao bado mko mjini kwani mkuu alisema atakaebaki mpaka miezi hii ni mwanaume.
Pili niende kwenye lililonifanya niwaandikie siku ya leo,nimekuwa nikiona bendera ya taifa ikipandishwa asubuhi na mapema na kushushwa jioni na filimbi hupigwa ili kuwafanya watu wasimame ili kulipa tukio hili heshima yake.
Maswali yangu ni,
1.Nini tafsiri ya jambo hili,kupandishwa asubuhi na kushushwa jioni?
2.Kuna maeneo ambayo bendera huwa haitolewi yaani inapandishwa hata usiku na ni yapi hayo?
Shukrani.
Philips X2560
Pili niende kwenye lililonifanya niwaandikie siku ya leo,nimekuwa nikiona bendera ya taifa ikipandishwa asubuhi na mapema na kushushwa jioni na filimbi hupigwa ili kuwafanya watu wasimame ili kulipa tukio hili heshima yake.
Maswali yangu ni,
1.Nini tafsiri ya jambo hili,kupandishwa asubuhi na kushushwa jioni?
2.Kuna maeneo ambayo bendera huwa haitolewi yaani inapandishwa hata usiku na ni yapi hayo?
Shukrani.
Philips X2560