Swali zuri lenye majibu swaafi, naomba niongezee kijiswali...'tafsida' humaanisha nn? Sorry kwa interruption.
Ashakum = samahani kwa kauli/msemo
Ashakum = pardon the expression
Ashakum si matusi = samahani kwa kauli, nitakalolisema si matusi!
Nadhani utakuwa umeelewa hapo"Ashakum si matusi," ashakum ni nini?
Tafsida ni neno linalotumiwa kupunguza makali ya neno lingine. kwa kiingereza huitwa "euphemism". Mathalan, kujifungua badala ya kuzaa (kwa binadamu), ashakumu kujisaidia badala ya kunya/kukojoa, n.k.Swali zuri lenye majibu swaafi, naomba niongezee kijiswali...'tafsida' humaanisha nn? Sorry kwa interruption.
Bado sijamuelewa.Ashakum = samahani kwa kauli
Ashakum si matusi = samahani kwa kauli, nitakalolisema si matusi!
Bado sijamuelewa.
Kama si matusi, samahani ya nini?
Sijauliza maana ya kauli "ashakum si matusi," nimesema, ashakum si matusi, ashakum ni nini? Akasema "ashakum" ni samahani. Nikasema kama si matusi samahani ya nini?Kama walivyosema wachangiaji waliotangulia, 'ashakum si matusi' ni kauli fupi inayomaanisha 'Samahani kwa kauli hii, simaanishi tusi'.
Nilivyofunzwa mimi, muungwana anasema "samahani sikudhamiria" baada ya kitendo, ukisema samahani kabla ya kosa ina maana umekusudia. Hata njiani huwezi kumwambia mtu "ndugu nataka kukukanyaga, lakini ashakum" halafu umkanyage, si utagombaniwa? Hiyo offense ni calculated, kusudi.Samahani ni katika kuonyesha uungwana.
We Bu'yaka vipi, mbona mbishi sana?Sijauliza maana ya kauli "ashakum si matusi," nimesema, ashakum si matusi, ashakum ni nini? Akasema "ashakum" ni samahani. Nikasema kama si matusi samahani ya nini...
maana yake yakhe,tafadhari niwie radhi kwa haya nitakayosema.....Wadau wa lugha naomba kujuzwa nini maana ya "Ashakum si Matusi"? Au hii sentensi inatumikaje?
Sijauliza maana ya kauli "ashakum si matusi," nimesema, ashakum si matusi, ashakum ni nini? Akasema "ashakum" ni samahani. Nikasema kama si matusi samahani ya nini?
Nilivyofunzwa mimi, muungwana anasema "samahani sikudhamiria" baada ya kitendo, ukisema samahani kabla ya kosa ina maana umekusudia. Hata njiani huwezi kumwambia mtu "ndugu nataka kukukanyaga, lakini ashakum" halafu umkanyage, si utagombaniwa? Hiyo offense ni calculated, kusudi.
"Samahani si matusi" ikifatiwa na matusi! Kama si matusi samahani ya nini?
Sijauliza maana ya kauli "ashakum si matusi," nimesema, ashakum si matusi, ashakum ni nini? Akasema "ashakum" ni samahani. Nikasema kama si matusi samahani ya nini?
Nilivyofunzwa mimi, muungwana anasema "samahani sikudhamiria" baada ya kitendo, ukisema samahani kabla ya kosa ina maana umekusudia. Hata njiani huwezi kumwambia mtu "ndugu nataka kukukanyaga, lakini ashakum" halafu umkanyage, si utagombaniwa? Hiyo offense ni calculated, kusudi.
"Samahani si matusi" ikifatiwa na matusi! Kama si matusi samahani ya nini?
Sentensi/tungo hiyo hutumiwa aghalabu unapotaka kutamka jambo ambalo lina "tusi/utusi" ama kutamka viungo vya siri bila ya kutaka kutumia tafsida.
Mf: Ashakum si matusi, mbwa walipomdondosha Mzee Kijogoo wakaziraru pumbu na mb.. yake.
Sentensi/tungo hiyo hutumiwa aghalabu unapotaka kutamka jambo ambalo lina "tusi/utusi" ama kutamka viungo vya siri bila ya kutaka kutumia tafsida.
Mf: Ashakum si matusi, mbwa walipomdondosha Mzee Kijogoo wakaziraru pumbu na mb.. yake.
ahaaa, na mimi nimekuelewa kwa nini umeelewa somo kwa haraka baada ya kupewa mfano unaoeleweka na mwalimu Mnyamahodzowewe ni mwalimu mzuri.
Nimeelewa somo.