yap mwambie huyokuna mambo ya kuongelea na mengine tupa kapuni usionyeshe ujinga wako mbele za watu tiGO! tiGO! shame on u
kwa sababu ya msemo wao wa.
tiGO ... Express yourself
Uporoto we ni inspector au vp??? Mana hata m cku ya kwanza kuchangia ulinambia hvohvo... Toka 200n nmechangia once
Sasa kwanini usimle na upande wa chini yakheeee unajua utaniuzzzzzziiiiii. LoLlakini Boss kwa kweli hali ni mbaya mimi kuna binti alinitangaza eti mi ni mshamba nakula samaki upande wa juu tu lol!