Texas Tom.
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 510
- 273
Leo mwenge wa uhuru unaingia hapa Usa-River Arumeru, Binafsi nimejua jana jioni baada ya kuona viongozi wetu wakihangaika kutengeneza vibarabara vya mtaani pamoja na majukwaa, Jana ulikua Arusha tena nasikia waliuweka kwenye mataa ya barabarani ikasabaisha ajali..nauliza nini maana ya mwenge kukesha ??? kwanini wasiuwashe asubuhi wakauzima jioni? kwanini usiku?? Hayo matumaini wanaodai huletwa na mwenge yako wapi??