KWANI HANA SIFA ZA KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE HUYO ZUCHUU?? AU KUNASHERIA INAYOKATAZA ZUCHU KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE?? TOENI NONGWA ZENU TUU HAPAAA.Mkuu Akina sugu na profesa j ni wanasiasa pia/wabunge, Zuchu anagombea jimbo gani?
TOKA LINI AKINA SUGU NA PROFESA J WAKAJIUNGA CHADEMA KWA MALENGO YA KUJITOLEA?? MBONA LEO KUPITIA UMALUFU WAO WA MZIKI NDIO ILIKUA KIKI YA KUWAPAISHA KISIASA NA HADI LEO NI WA BUNGE?? HATA HAO WASANII WA CCM, WANAHAKI ZOTE ZA KUSHIRIKI KAMPENI KWA VYAMA WANAVYOVITAKA, MAANA HUJUI KESHO YAO ITAKUAJEE. ACHENI NONGWAA KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE, KIKUBWA MKONO UENDE KINYWANIII.Mkuu tuachane na hayo kwani kuna wasanii wanaojitolea katika kampeni hizi??
Wapi nimesema kuwa hafai kuwa mwanachama?KWANI HANA SIFA ZA KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE HUYO ZUCHUU?? AU KUNASHERIA INAYOKATAZA ZUCHU KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE?? TOENI NONGWA ZENU TUU HAPAAA.
SUGU ANAMZIDI NANI KIMAADILI??Ishu ni kwann wanasansiasa wanatumia wasanii wasio eleweka kimaadili katika kampeni zao??
Mkuu wasanii hawakatazwi kushiriki kampeni je hao wasanii wana enzi vip tamaduni za kitanzania katika kazi zaoTOKA LINI AKINA SUGU NA PROFESA J WAKAJIUNGA CHADEMA KWA MALENGO YA KUJITOLEA?? MBONA LEO KUPITIA UMALUFU WAO WA MZIKI NDIO ILIKUA KIKI YA KUWAPAISHA KISIASA NA HADI LEO NI WA BUNGE?? HATA HAO WASANII WA CCM, WANAHAKI ZOTE ZA KUSHIRIKI KAMPENI KWA VYAMA WANAVYOVITAKA, MAANA HUJUI KESHO YAO ITAKUAJEE. ACHENI NONGWAA KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE, KIKUBWA MKONO UENDE KINYWANIII.
Je katika wajumbe wakamati kuu ya ccm kuna wasanii wangapi?? WatajeSUGU ANAMZIDI NANI KIMAADILI??
Tofauti ya ng'ombe na wewe ipi?NINI MAAANA YA CHADEMA KUWAWEKA WASANII KAMA AKINA SUGU, PROFESA J KWENYE SIASA HADI KUWALUHUSU KUGOMBEA UBUNGE HADI WAKASHINDA?????
IQ tatizoAkili za wapi hizi jamani
Mtu anae andika kwa herufi kubwa obvious hua ana shida upande wa network. Pity on youHAAA HAAA. TULIENI MKIJIBIWA MAIGIZO YENU NA MAPROPAGANDA YENUU. WASANIII NI WATANZANIA KAMA WATU WENGINE. KINACHOWAKEREKETA NYIE CHADEMA NIKUONA WASANII MAARUFU INCHINI KUTUMIKA KWENYEKAMPENI ZA CCM. ILA HAOHAO WASANIII WANAOINADI CCM LEO WAKESEMA WAGEUKIE KWENU CHADEMA MATAWAITA MAKAMANDA HATAKABLA HAWAJACHUKUA KADI ZA CHAMA CHENUU. ACHENI NONGWA WASAANIII WANAHAKI ZOZE KIUCHUMI KISIASA NA KIUTAWALAA.
KWANI WEWE UMESOMA HATA NGUMBALO KWELII?? INAMAANA HUELEWI NILICHOKIANDIKA KWELII??Mtu anae andika kwa herufi kubwa obvious hua ana shida upande wa network. Pity on you
KWA MATUSI NDO ILANI MNAYONADI KUPITIA MZEE WA KIKI ZA MAIGIZO. TUKANENI TUUU, UKWELI UTABAKI PALEPALEETofauti ya ng'ombe na wewe ipi?
SUGU NA PROFESA J, KWANI NAO WALIKUWA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA MPAKA WAKAPEWA RIDHAA YA KUGOMBEA??Je katika wajumbe wakamati kuu ya ccm kuna wasanii wangapi?? Wataje
Mbona wasanii ndio wamekua taswira ya chama cha mapinduzi kuliko wajumbe na wenyeviti wa chama kuanzia ngazi ya chini
Mkuu CCM wanatuona watanzania ni wajinga sana ujue
Tofautisha sifa za kugombea ubunge na wasanii kutumika kutangaza chama kuna kundi la wasanii zaidi 100 wapo nyuma ya ccmSUGU NA PROFESA J, KWANI NAO WALIKUWA WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA MPAKA WAKAPEWA RIDHAA YA KUGOMBEA??
KWANI WAGOMBEA HAO SIO WASANIII?? NA NI UMARUFU HUOHUO WA KIUSANII NDO UMEWAFIKISHA HAPO?? ACHENI NONGWAAA.Tofautisha sifa za kugombea ubunge na wasanii kutumika kutangaza chama kuna kundi la wasanii zaidi 100 wapo nyuma ya ccm
Tunajua kazi za sanaa wanazofanywa huwa wanalipwa je katika hili hela za kuwalipa hili kundi zina toka wapi??
Tambua NECimetoa pesa zao kwa ajili ya wagombea katika nafasi zao kwa kiLa chama sio makundi ya wasanii
Kutafuta kuungwa mkono kupitia umaarufu wa wasanii, lakin trust me in case ccm wakapita baadhi ya wasanii wataisoma nambaHabari zenu wadau,
Kipindi kampeni zikiendelea kushika kasi kuna kitu kusema ukweli sisi kama Watanzania tuna tafakari mara mbili mbili hasa aina ya kampeni zinazofanyika na chama cha CCM.
Kumekuwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wasanii wa maigizo ambao wameshirikishwa kushiriki katika kampeni za CCM lakini ukitazama kwa jicho kali maana ya maudhui ya kazi zao za sanaa za kila siku wengi wao zimejaa mapenzi na kauli zenye ukakasi kusikiliza au kutizama pia maisha yao mfano hao bongo movie ni maisha ya kihuni na skendo zisizoisha.
Leo hii tunapokuja kufanya kampeni za chama lazima utamaduni na desturi za Kitanzania zisambazwe kwa njia ya sanaa kwani inakutanisha Watanzania wote na tunaangalia mustakbali wa maisha yetu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kwann inatumia pesa nyingi kulipa vikundi hivi ambavyo kwa baadhi yao kazi zao haziendani na utamaduni wa Mtanzania?
Je, hawa wenyeviti wa CCM kila mkoa na wilaya wana kazi gani?
Kwenye vyuo kuna wataalamu wa siasa ambao wamesome fani ya siasa kwanini wasishirikishwe katika kampeni za CCM ili sisi Watanziania tupewe madini ya kisiasa kuliko kila siku kuwatazama kina zuchu, Ali Kiba, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na wengineo.
Kuna vikundi vya ngoma za kitamaduni, sarakasi, ngonjera na mashairi ambao wanaakisi utamaduni wa Mtanzania moja kwa moja katika kazi zao kwa nini hawashirikishwi kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi?
Hakika picha mnayotupa sisi watanzania ni kwamba CCM mnatuona sisi ni wapumbavu sana kwa kutumia makundi haya ya sanaa yasioyokuwa na tija kwetu.
Haya yote ipo siku yatafika mwisho.
Si ndio hawa wanaotekwaHabari zenu wadau,
Kipindi kampeni zikiendelea kushika kasi kuna kitu kusema ukweli sisi kama Watanzania tuna tafakari mara mbili mbili hasa aina ya kampeni zinazofanyika na chama cha CCM.
Kumekuwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wasanii wa maigizo ambao wameshirikishwa kushiriki katika kampeni za CCM lakini ukitazama kwa jicho kali maana ya maudhui ya kazi zao za sanaa za kila siku wengi wao zimejaa mapenzi na kauli zenye ukakasi kusikiliza au kutizama pia maisha yao mfano hao bongo movie ni maisha ya kihuni na skendo zisizoisha.
Leo hii tunapokuja kufanya kampeni za chama lazima utamaduni na desturi za Kitanzania zisambazwe kwa njia ya sanaa kwani inakutanisha Watanzania wote na tunaangalia mustakbali wa maisha yetu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kwann inatumia pesa nyingi kulipa vikundi hivi ambavyo kwa baadhi yao kazi zao haziendani na utamaduni wa Mtanzania?
Je, hawa wenyeviti wa CCM kila mkoa na wilaya wana kazi gani?
Kwenye vyuo kuna wataalamu wa siasa ambao wamesome fani ya siasa kwanini wasishirikishwe katika kampeni za CCM ili sisi Watanziania tupewe madini ya kisiasa kuliko kila siku kuwatazama kina zuchu, Ali Kiba, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na wengineo.
Kuna vikundi vya ngoma za kitamaduni, sarakasi, ngonjera na mashairi ambao wanaakisi utamaduni wa Mtanzania moja kwa moja katika kazi zao kwa nini hawashirikishwi kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi?
Hakika picha mnayotupa sisi watanzania ni kwamba CCM mnatuona sisi ni wapumbavu sana kwa kutumia makundi haya ya sanaa yasioyokuwa na tija kwetu.
Haya yote ipo siku yatafika mwisho.