Wanayama ndo nn???Habari wadau
Naomba msaada wa njozi hii, nimeota nachunga wanayama wengi ila Kati Yao yupo mbuzi na mtoto wake wakanisumbua sana na nikawachapa mpaka wakazimia
Pembeni kukawa na nyumba nzuri sana
Je inamaana gani
Mrudie yule singo maza uliemtelekeza na ukamuombe radhi...