oooh sawa; Siku akute condom aibebe akijua dawa ya mbuKujenga mazoea kwa jamii yote hasa watoto kwamba hata akiiona kwa dingi asiwe na mawazo hasi!
Juzi nimeona jamaa amebeba nilimtazama sana,baadaye nikagundua sio ndomu.Ziliwah niletea mushker hizi pakiti
Pumbavu kwa watengenezaji
mawazoJuzi nimeona jamaa amebeba nilimtazama sana,baadaye nikagundua sio ndomu.
Sasa wamtazama Sana kwa ajili gani? Kuna ajabu gani mtu akinunua kondomu?Juzi nimeona jamaa amebeba nilimtazama sana,baadaye nikagundua sio ndomu.
Duh1. Mbu pia wanaambukiza mimba iwapo ametoka kung’ata uume kisha akang’ate uke ambao uko kipindi cha yai kupevuka.
2. Mbu pia wanaambukiza ngoma kutoka mgonjwa mwenye damu chanya kwenda damu chanya na hasi.
3. Ukisahau kutumia/kununua ndomu, tumua hiyo dawa ya mbu kuua mbu walioko eneo ulilopo utakwepa vile vinavyokwepeshwa/ vinavyozuiwa na ndomu.
Alnuru.
Condom ipo Dunia nzima!
Ni yepi malengo watengenezaji wa dawa ya mbu kuamua kutumia kufungashio kinachofanana na Condom?
View attachment 1581175
Condom ipo Dunia nzima!
Ni yepi malengo watengenezaji wa dawa ya mbu kuamua kutumia kufungashio kinachofanana na Condom?
View attachment 1581175
Kuna mafundi walikuwa wana kazi hapa nyumbani,sasa waliziona jalalani zipo kibao na zingine zimezagaa,jamaa wakaanza kuambiana wao kwa wao huyu jamaa ni noma yaani hafai,mi nikiwa sipo
Sikumbuki kilitokea nini nikawa nimesema kitu wakajua hio ni pakti za dawa ya mbu,jamaa wakaanza kucheka,
Nikauliza mbona mnacheka,wakasema tulikuwa tunajua hizo ni pakti za ndom,na kwa jinsi zilivyo nyingi tukawa tunasema we si wa mchezo.
Kumbe walikuwa hawajawai kuona hizo dawa za mbu kabisa,ina maana wasingejua wangondoka na mawazo wanayoyajua wao.
1. Mbu pia wanaambukiza mimba iwapo ametoka kung’ata uume kisha akang’ate uke ambao uko kipindi cha yai kupevuka.
2. Mbu pia wanaambukiza ngoma kutoka mgonjwa mwenye damu chanya kwenda damu chanya na hasi.
3. Ukisahau kutumia/kununua ndomu, tumua hiyo dawa ya mbu kuua mbu walioko eneo ulilopo utakwepa vile vinavyokwepeshwa/ vinavyozuiwa na ndomu.
Alnuru.
Mbu anakufa apo muuma mtu mwenye HIV+ kwaiyo hawezi kusambaza HIV.2. Mbu pia wanaambukiza ngoma kutoka mgonjwa mwenye damu chanya kwenda damu chanya na hasi.