Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Mwanakjjiji umenifikirisha sana. It is a very good idea. Kwa kuwa Mbunge hakusanyi kodi anapaswa kuwa msimamizi wa shughuli za serikali Jimboni na kuihoji inapoharibu Bungeni. Lakini kwa kuwa wamejigeuza waleta maendeleo ndo maana unawasikia kuwa wanataka mfuko wa maendeleo ya jimbo, mara posho zaidi. Haya yote jibu lake ni Katiba mppya.