mariavictima
Senior Member
- Jul 8, 2010
- 179
- 39
Hamjambo wote? Naomba ufafanuzi kutoka kwenu wana JF. Je Slaa anaweza kurudi tena bungeni, angalao kwa Viti maalum?? Bila Slaa Bunge litachangamka kweli? Ninaumia sana kila nikifikiria hatma ya mpambanaji wetu!!!