Nini kitatokea endapo Simba itakosa ubingwa msimu huu??

Uhalisia ni kuwa hawapati, maana hawana timu ya kuwapa ubingwa.
Matokeo yake watafukuza Kocha na baadhi ya wachezaji kama kawaida yao. Msimu ujao wanaanza na benchi jipya la ufundi na kikosi kipya. Pole zao in advance.
 
itakuwa n0ma sana... ila timu ya ubingwa tunayo na still ligi ni mbio ndefu
hatujawazid wala hamjatuzid hvyo punguza hofu
 
Na nini hatma ya Munchester united,Asenal,Liverpool wakikosa ubingwa?, Simba itaendelea kuwepo tu, bahati yako sijaijua jinsia yako,kuna kitu ningekuambia
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom