sudan iii
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 257
- 311
Tupe mfano wa majibu unayotak ww labl utaelewek mkuuMnaiita elimu ya bongo mbovu ni kweli ni mbovu maana umeshindwa kuelewa swali dogo kama hili
Tupe mfano wa majibu unayotak ww labl utaelewek mkuuMnaiita elimu ya bongo mbovu ni kweli ni mbovu maana umeshindwa kuelewa swali dogo kama hili
Mnacho kifanya wewe na wenzako ni kureact na sio kujibu kilichoulizwa, chukulia mimi sijui kitu nmekuuliza hilo swali ili nijifunze halafu wewe unaanza kujibu vitu ambavyo sijakuulizaTatizo lako kuna majibu unayoyataka wewe, hatupo kwenye hisabati kwamba kila utakayemuuliza 2+2=4, tegemea maswali, na hoja kinzani kutoka kwenye swali lako na ukiweza kuelewa maelezo ya wote hapo tutakuita muerevu
Umeelewa swali?Tupe mfano wa majibu unayotak ww labl utaelewek mkuu
Itoshe kusema wewe jamaa ni pimbi sana, nimepitia comment huna uwezo wa kujenga hoja ni mtu wa kuattack kwa wanaotoa majibu tofauti na matarajio yakoMnaiita elimu ya bongo mbovu ni kweli ni mbovu maana umeshindwa kuelewa swali dogo kama hili
Wee kawambie waache ujinga.Jibu swali kama huna jibu kausha mkuu, msijibu vitu ambavyo hujaulizwa
Kwa vyuo binafsi vitashindwa kujiendesha na kupelekea kufungwa, maana kama hamna wanafunzi hakuna haja ya kuendelea kufanya hiyo biashara, ina maana tutakuwa tumeongeza idadi kubwa ya watu wasiokuwa na ajira mtaani.Ahsante mkuu kwa jibu lako zuri wengi wanajibu vitu ambavyo sijawauliza big up mkuu,
Je kuna athari gani za kiuchumi zitatokea?
Kukataa majibu inamaana umeelewa kilichojibiwa na wewe kuna majibu unayataka, sisi wengine hatujataka kujibu kama unavyotegemea kwa sababu wazo la namna hiyo halifai hatutakiwi kufikia huko, watu waelimishwe wengi zaidi kujadili hasara au faida ni sawa na kupendekeza jambo hilo lifanyikeMnacho kifanya wewe na wenzako ni kureact na sio kujibu kilichoulizwa, chukulia mimi sijui kitu nmekuuliza hilo swali ili nijifunze halafu wewe unaanza kujibu vitu ambavyo sijakuuliza
Wakuu hili swali nimeliuliza sehemu nkashindwa kupata majibu nimeona nililete hapa.
Nini kitatokea endapo serikali itapandisha vigezo vya kusoma elimu ya juu? Je kutakuwa na athari gani ktk jamii kiuchumi?
Mfano alama za kujiunga chuo ziwe atleast BBB
Ahsante mkuu kwa maoni yako,Mara ya mwisho nafatilia nchini England kwenda University unapaswa uwe na A tano (5) wanaita AS LEVEL... sijui kwa sasa ipoje.
Serikali ya awamu hizi kuanzia JK, JPM, SSH wamefanya mazuri kwenye sekta ya ELIMU tuwapongeze lakini kwenye elimu ya juu kwa maana ya High school, vyuo vya kati na vyuo vikuu kuna usingizi mzito zaidi ya ule wa pono.
Kuna wilaya hazina High school hata moja.
Admission capacity ya vyuo vyetu ni ndogo sana.
Wadau wa elimu woote wahusishwe vyuo vijengwe hasa vya ufundi
Kuna athari gani za kiuchumi?Elimu kwa sasa ni biashara kama zilivo biashara zingine,,
Ukipandisha alama za ufaulu utafanya bidhaa(Wanafunzi) wapungue na biashara kudorora..
Vile vile nchi wasomi watapungua sana japo hata waliopo hawana msaada saaaana..
Nafikiri Elimu ya ufundi stadi ipewe kipaumbele sana kuliko hii ya kukariri vitu zaidi
Wakuu hili swali nimeliuliza sehemu nkashindwa kupata majibu nimeona nililete hapa.
Nini kitatokea endapo serikali itapandisha vigezo vya kusoma elimu ya juu? Je kutakuwa na athari gani ktk jamii kiuchumi?
Mfano alama za kujiunga chuo ziwe atleast BBB