sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,562
- 11,474
Katika hali isiyo ya kawaida kwa mara ya kwanza tumepata Rais wa kikatiba, yaani hajapigiwa kura wala kushindanishwa.
Ilizoeleka miaka kenda Rais lazima afanye kampeni, ashindane na wapinzani wake hali iliyokuwa inapelekea chuki, fitna, malumbano na hata umwagaji damu kati ya makundi hasimu.
Hii hupelekea hata baada ya uchaguzi kuwepo na visa vya hapa na pale ikiwemo chuki. Lakini katika hali hiyo hiyo inasikitisha namna Rais wetu alivyotoka haraka kwenye mioyo ya wananchi wengi, sio wote ila wengi.
Angekuwa kashindanishwa basi tungesema labda wapinzani wake hawakuridhishwa na matokeo na pengine alifanya kampeni chafu.
Sasa kuchokwa huku haraka chanzo inaweza kuwa ni nini?
Ilizoeleka miaka kenda Rais lazima afanye kampeni, ashindane na wapinzani wake hali iliyokuwa inapelekea chuki, fitna, malumbano na hata umwagaji damu kati ya makundi hasimu.
Hii hupelekea hata baada ya uchaguzi kuwepo na visa vya hapa na pale ikiwemo chuki. Lakini katika hali hiyo hiyo inasikitisha namna Rais wetu alivyotoka haraka kwenye mioyo ya wananchi wengi, sio wote ila wengi.
Angekuwa kashindanishwa basi tungesema labda wapinzani wake hawakuridhishwa na matokeo na pengine alifanya kampeni chafu.
Sasa kuchokwa huku haraka chanzo inaweza kuwa ni nini?